Cyprian Majura Musiba ni nani na anatumwa na nani?

Cyprian Majura Musiba ni nani na anatumwa na nani?

Ni speaker kuu ya chama cha makinikia, ukitaka kujua mmiliki wa speaker fatilia waya.
Mmiliki wa huyo sipika na vifaa vingine vya hiyo radio ni Naibu Rais ndugu Daud Arbaty Bashite
 
Kuna jama alichora sipika na waya kitu chakushangaza jamaa walipofuwatilia ule waya akakuta una waya less kufuwatilia mawimbi wakakuta jamaa yupo kwenye network ambayo siorahisi kujuwa chanzo cha mtoa tarifa darkweb
Waya wa Musiba upo mpaka nyumbani kwa Daud Arbaty Bashite pia network ipo mpaka mjengoni kwani ujue Musiba ndiyo alikwenda Dodoma akiwa ndani ya Nissan nyeupe akiwa na jerry muro, dereva asiyejulikana na Heri kisanduku ambaye ndiye alipiga Risasi Tundu Lisu kwa maelekezo toka kwa Musiba ambaye kitaaluma ni Asikari aliyewahi kutumikia JWTZ ingawa alifukuzwa kazi lakini ujuzi wa kutumia bunduki anao kichwani ingawa huwa na papara na mapepe pindi akitumwa kazi na pengine huko kukurupuka kwake ndiko kulimuokoa Lisu, kwa maelekezo yake kwa Heri kisanduku kuhusu kumpiga Tundu Lisu Risasi yalikuwa ya papara zaidi, kiufupi huyo kilaza Musiba analindwa na vigogo wa CCM lakini hakuna mabaya yasiyo na mwisho, ipo siku ataumbuka na kujutia unyama wake, walikuwepo akina Sadam Hussein, chiluba, Abacha, Bokassa, Gadafi, Charles Taylor, mabutu, idd Amini dada na yule msaidizi wake aliitwa colonel Maliyamungu alikuwa na roho mbaya kama ya Musiba na Bashite wapo wapi sasa? Mungu yupo ipo siku ataonyesha kila kitu kwa uwazi.
 
huyu musiba namjua vizuri tangu siku ya kwanza anaanza kazi pale habari cooperation ya jenelari ulimwengu, yaani ni bonge la kilaza kiazi kama lilivyo jina lake la msiba yaani alikuwa anabebwa ili mwisho wa mwezi ufike apate chochote, ikitokea jiwe akampa anachokitafuta, hiyo wilaya, mkoa au halmashauri itakuwa imepata hasara kubwa sana
 
huyu musiba namjua vizuri tangu siku ya kwanza anaanza kazi pale habari cooperation ya jenelari ulimwengu, yaani ni bonge la kilaza kiazi kama lilivyo jina lake la msiba yaani alikuwa anabebwa ili mwisho wa mwezi ufike apate chochote, ikitokea jiwe akampa anachokitafuta, hiyo wilaya, mkoa au halmashauri itakuwa imepata hasara kubwa sana
Alikuwa ni asikari wa jwtz kabla ya kuwa mwandishi wa habari na huko jeshini alikuwa ni asikari mtukutu na mshamba Fulani
 
Cpyrian Musiba ni jina la vyeti vya mtu kwani yeye hakumaliza shule alikuwa ni mtukutu sana
 
Musiba na Daud Arbaty Bashite hawachekani ndiyo maana ni marafiki wakubwa na Bashite hugharamia kila kitu kwa Musiba kuanzia kamati za ufundi mpaka walinzi wanaomlinda Musiba
 
yani katika lijitu ambalo silipendi hata kusikia sauti yake ni hili lijamaa limsiba siju hili jamaa kama alivyosema zitto kabwe ni lizwazwa kweli sijui limezaliwa kijiji gani? yani ni likenge kwelikweli unajua kenge ukimshitua tu anakurupuka ni sawa sawa na huyu jamaa ni lijuha juu ya majuha na ishanga serikali inamwangalia tu
 
Musiba amekuwa akiitetea Serikali pasipo woga, ameikosoa pasipo woga pale ilipoonekana kutochukua hata shida ya woote wenye nia mbaya na Serikali. Mwandishi huyu na mmiliki Wa vyombo vya habari ni mfano Wa kuigwa
Uko vizuri sana. Makusudikali kama vile jina lako. Ha haaa
 
Back
Top Bottom