minyoo
JF-Expert Member
- May 25, 2013
- 22,405
- 21,100
Mmiliki wa huyo sipika na vifaa vingine vya hiyo radio ni Naibu Rais ndugu Daud Arbaty BashiteNi speaker kuu ya chama cha makinikia, ukitaka kujua mmiliki wa speaker fatilia waya.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mmiliki wa huyo sipika na vifaa vingine vya hiyo radio ni Naibu Rais ndugu Daud Arbaty BashiteNi speaker kuu ya chama cha makinikia, ukitaka kujua mmiliki wa speaker fatilia waya.
Ana kiburi sanaMmiliki wa huyo sipika na vifaa vingine vya hiyo radio ni Naibu Rais ndugu Daud Arbaty Bashite
Mlezi wake ni Bashite na mshauri wake mkuu ni Le mutuzHuyu nu muhuni mmoja tu anatumwa na ikulu
Dawa yake ni kumsaka Le mutuz kwenye night club usiku achezee kichapo cha kasi na haraka mpaka ajinyee kisha apewe ujumbe ampelekee wataacha kusumbua watu kwani Musiba na Le mutuz lao ni moja lakini Le mutuz hukaa nyuma ya PaziaAna kiburi sana
Waya wa Musiba upo mpaka nyumbani kwa Daud Arbaty Bashite pia network ipo mpaka mjengoni kwani ujue Musiba ndiyo alikwenda Dodoma akiwa ndani ya Nissan nyeupe akiwa na jerry muro, dereva asiyejulikana na Heri kisanduku ambaye ndiye alipiga Risasi Tundu Lisu kwa maelekezo toka kwa Musiba ambaye kitaaluma ni Asikari aliyewahi kutumikia JWTZ ingawa alifukuzwa kazi lakini ujuzi wa kutumia bunduki anao kichwani ingawa huwa na papara na mapepe pindi akitumwa kazi na pengine huko kukurupuka kwake ndiko kulimuokoa Lisu, kwa maelekezo yake kwa Heri kisanduku kuhusu kumpiga Tundu Lisu Risasi yalikuwa ya papara zaidi, kiufupi huyo kilaza Musiba analindwa na vigogo wa CCM lakini hakuna mabaya yasiyo na mwisho, ipo siku ataumbuka na kujutia unyama wake, walikuwepo akina Sadam Hussein, chiluba, Abacha, Bokassa, Gadafi, Charles Taylor, mabutu, idd Amini dada na yule msaidizi wake aliitwa colonel Maliyamungu alikuwa na roho mbaya kama ya Musiba na Bashite wapo wapi sasa? Mungu yupo ipo siku ataonyesha kila kitu kwa uwazi.Kuna jama alichora sipika na waya kitu chakushangaza jamaa walipofuwatilia ule waya akakuta una waya less kufuwatilia mawimbi wakakuta jamaa yupo kwenye network ambayo siorahisi kujuwa chanzo cha mtoa tarifa darkweb
Alikuwa ni asikari wa jwtz kabla ya kuwa mwandishi wa habari na huko jeshini alikuwa ni asikari mtukutu na mshamba Fulanihuyu musiba namjua vizuri tangu siku ya kwanza anaanza kazi pale habari cooperation ya jenelari ulimwengu, yaani ni bonge la kilaza kiazi kama lilivyo jina lake la msiba yaani alikuwa anabebwa ili mwisho wa mwezi ufike apate chochote, ikitokea jiwe akampa anachokitafuta, hiyo wilaya, mkoa au halmashauri itakuwa imepata hasara kubwa sana
Hii inaitwa kujitekenya mwenyewe ili ucheke
Na mara nyingi hata ukiangalia uandishi wao ni uleule hauna tofauti miezi nenda miezi rudi. Hili neno SACCOS anapenda sana litumia hata kwenye clips zake nyingi. Ila jamaa ni mbaguzi mkubwa sanaMusiba ni sampuli ya vijana wa ccm wala hauhitaji kuwapima kujua uwezo wao wa kufikiri
Uko vizuri sana. Makusudikali kama vile jina lako. Ha haaaMusiba amekuwa akiitetea Serikali pasipo woga, ameikosoa pasipo woga pale ilipoonekana kutochukua hata shida ya woote wenye nia mbaya na Serikali. Mwandishi huyu na mmiliki Wa vyombo vya habari ni mfano Wa kuigwa