Cyprian Majura Musiba ni nani na anatumwa na nani?

Cyprian Majura Musiba ni nani na anatumwa na nani?

Musiba ni sampuli ya vijana wa ccm wala hauhitaji kuwapima kujua uwezo wao wa kufikiri
Wewe ni mmoja wa wajinga wasio na mfano.

Unatufananisha na hicho kisonono kisicho na dawa. Umetuvunjia heshima sana. Uliona musiba akiwa na jina zaidi ya hii miaka miwili iliyopita.

Huyu hajamikera kama alivyotukera sisi, na tunamchukia kushinda nyie.

Na huyu aliyeleta huu uzi ni mpiga rangi qa viatu vyake, acheni kumpa jina , wala msimjibu
 
Musiba amekuwa akiitetea Serikali pasipo woga, ameikosoa pasipo woga pale ilipoonekana kutochukua hata shida ya woote wenye nia mbaya na Serikali. Mwandishi huyu na mmiliki Wa vyombo vya habari ni mfano Wa kuigwa
ama kweli, ukiyashangaa ya supuika yatakukuta haya ya kumswafi musiba!
Ni kweli ajira zimekuwa ngumu sana lakini hii ya kuajiriwa kumsifu musiba ni ngumu mno kuikubali.
Nina mashaka na mleta uzi kuwa huenda ni misiba mwenyewe kaja kupima kama bado anaweza rudia kuwatukana watu na au umeajiriwa kumpiga deki!
Jitahidi basi kumsihi Membe wamalizane kwa diipipii kama ana mabaki!
 
Dunia hii hata ukijaribu kunya na kujipaka hadharani hutakosa wa kukupongeza na kukuiga......
Musiba amekuwa akiitetea Serikali pasipo woga, ameikosoa pasipo woga pale ilipoonekana kutochukua hata shida ya woote wenye nia mbaya na Serikali. Mwandishi huyu na mmiliki Wa vyombo vya habari ni mfano Wa kuigwa
 
Musiba amekuwa akiitetea Serikali pasipo woga, ameikosoa pasipo woga pale ilipoonekana kutochukua hata shida ya woote wenye nia mbaya na Serikali. Mwandishi huyu na mmiliki Wa vyombo vya habari ni mfano Wa kuigwa
Duniani binadamu tuko wa aina mbalimbali:

Waovu wakitetewa na waovu wenzao;

Waovu wakitetea maovu yao;

Wema wakitetewa kwa wema wao;

Wema wakitukanwa na waovu;

Na watu kama Musiba ambao kamwe hawaogopi kusema yaliyo moyoni mwao.
 
Musiba amekuwa akiitetea Serikali pasipo woga, ameikosoa pasipo woga pale ilipoonekana kutochukua hata shida ya woote wenye nia mbaya na Serikali. Mwandishi huyu na mmiliki Wa vyombo vya habari ni mfano Wa kuigwa
Acha kusumbua watu kwa kuandika upuuzi humu
 
Musiba amekuwa akiitetea Serikali pasipo woga, ameikosoa pasipo woga pale ilipoonekana kutochukua hata shida ya woote wenye nia mbaya na Serikali. Mwandishi huyu na mmiliki Wa vyombo vya habari ni mfano Wa kuigwa
Kumbe we kenge ni Msiba......oh nisamehew kwa kubishana na huyu ndugu!!!He is mentally sick
 
Musiba amekuwa akiitetea Serikali pasipo woga, ameikosoa pasipo woga pale ilipoonekana kutochukua hata shida ya woote wenye nia mbaya na Serikali. Mwandishi huyu na mmiliki Wa vyombo vya habari ni mfano Wa kuigwa
Msiba huyu huyu asiyeelewa hata anachokizungumza duuuuuu!!!!!
 
Musiba amekuwa akiitetea Serikali pasipo woga, ameikosoa pasipo woga pale ilipoonekana kutochukua hata shida ya woote wenye nia mbaya na Serikali. Mwandishi huyu na mmiliki Wa vyombo vya habari ni mfano Wa kuigwa
Musiba huyu anae andika habari zisizo na kichwa wala miguu?
Magazeti yake nimekuwa nikiyafuatilia.. yes anatetea serikal. Lakin sijawahi ona akitetea hata siku moja.
Si mwanaharakati wa kuigwa..kutokana na aina ya habar anazoandika zimelala upande mmoja.

Akiitisha press anaongea vitu asivyo na ushahidi navyo mwishowe anakaa kimya.

Kuna watu ni vichwa na wanaheshim kazi zao.. lakin si musiba. He is a low grade boot leaker.
 
Membe kamnyoosha, siku hizi mkia kaukunjia kunako.
 
Back
Top Bottom