Cyprian Majura Musiba ni nani na anatumwa na nani?

Cyprian Majura Musiba ni nani na anatumwa na nani?

Naona ni wewe mwenyewe ndio unatuletea habari hii.ukileta habari zenye uthibitisho tutasema sisi wewe ni mzalendo shupavu.na kwa sasa ni prof Assad
Habari wakuu

Nimefatilia habari mbalimbali zinazochapishwa kwenye gazeti la tanzanite,nadiriki kusema Mmiliki wa chombo hiki cha habari anauchungu na raslimali za taifa letu kuliwa na watu wachache wenyekujivika ngozi ya kondoo machoni pa watu.

Sote tunajua hakuna jambo gumu kama kutoa taarifa nyeti kwa umma kama hizi hata sisi hapa ndani tunatumia utambulisho fake ila niwaoga kuzungumza ukweli wa mambo.

N:B hizi habari za kuteteana kwamba ameanza kwetu anakuja kwenu kama wanavyodai wapinzani bila kuchukulia uzito wa suala lenyewe upuuzwe nao wapuuzwe wamekosa dira badala ya kusimama kama taifa kukemea fedha za wastaafu wanalia kila siku mitaani wanashabikia vitu vya ajabu.
 
Kama ni mzalendo mwambie aandike kuhusu ufisadi wa kivuko na nyumba za serikali.....

Au pesa iliyojenga hotel ya Makonda pale mwanza pesa alizotoa wapi?

Akiweza kutueleza ufisadi wa Magufuli na Makonda mimi nitaanza kulinunua"
 
Kama ni mzalendo mwambie aandike kuhusu ufisadi wa kivuko na nyumba za serikali.....

Au pesa iliyojenga hotel ya Makonda pale mwanza pesa alizotoa wapi?

Akiweza kutueleza ufisadi wa Magufuli na Makonda mimi nitaanza kulinunua"
Akikujibu Broo niite. Muhudumu niongezee kirikuu nyingine kesho niamke saa nane nikute hotuba zishapita
 
Habari wakuu

Nimefatilia habari mbalimbali zinazochapishwa kwenye gazeti la tanzanite,nadiriki kusema Mmiliki wa chombo hiki cha habari anauchungu na raslimali za taifa letu kuliwa na watu wachache wenyekujivika ngozi ya kondoo machoni pa watu.

Sote tunajua hakuna jambo gumu kama kutoa taarifa nyeti kwa umma kama hizi hata sisi hapa ndani tunatumia utambulisho fake ila niwaoga kuzungumza ukweli wa mambo.

N:B hizi habari za kuteteana kwamba ameanza kwetu anakuja kwenu kama wanavyodai wapinzani bila kuchukulia uzito wa suala lenyewe upuuzwe nao wapuuzwe wamekosa dira badala ya kusimama kama taifa kukemea fedha za wastaafu wanalia kila siku mitaani wanashabikia vitu vya ajabu.
Hana uzalendo wowote huyu ni kujikomba akitafuta kuteuliwa
 
Kama ni mzalendo mwambie aandike kuhusu ufisadi wa kivuko na nyumba za serikali.....

Au pesa iliyojenga hotel ya Makonda pale mwanza pesa alizotoa wapi?

Akiweza kutueleza ufisadi wa Magufuli na Makonda mimi nitaanza kulinunua"
Andika wewe kwa kuwa una ushahidi wa issue yenyewe au peleka taarifa na ushahidi kwenye gazeti la Tanzanite au gazeti lako Tanzania Daima mkuu.
 
Aandike na yale maburungutu ya pesa yanayotoka hazina kwenda nyumba nyeupe maana yanazidi tr 4
Habari wakuu

Nimefatilia habari mbalimbali zinazochapishwa kwenye gazeti la tanzanite,nadiriki kusema Mmiliki wa chombo hiki cha habari anauchungu na raslimali za taifa letu kuliwa na watu wachache wenyekujivika ngozi ya kondoo machoni pa watu.

Sote tunajua hakuna jambo gumu kama kutoa taarifa nyeti kwa umma kama hizi hata sisi hapa ndani tunatumia utambulisho fake ila niwaoga kuzungumza ukweli wa mambo.

N:B hizi habari za kuteteana kwamba ameanza kwetu anakuja kwenu kama wanavyodai wapinzani bila kuchukulia uzito wa suala lenyewe upuuzwe nao wapuuzwe wamekosa dira badala ya kusimama kama taifa kukemea fedha za wastaafu wanalia kila siku mitaani wanashabikia vitu vya ajabu.
 
Kama ni mzalendo mwambie aandike kuhusu ufisadi wa kivuko na nyumba za serikali.....

Au pesa iliyojenga hotel ya Makonda pale mwanza pesa alizotoa wapi?

Akiweza kutueleza ufisadi wa Magufuli na Makonda mimi nitaanza kulinunua"
Ohooo, atawageukaje wanaomtuma? Kilangila.
 
Habari wakuu

Nimefatilia habari mbalimbali zinazochapishwa kwenye gazeti la tanzanite,nadiriki kusema Mmiliki wa chombo hiki cha habari anauchungu na raslimali za taifa letu kuliwa na watu wachache wenyekujivika ngozi ya kondoo machoni pa watu.

Sote tunajua hakuna jambo gumu kama kutoa taarifa nyeti kwa umma kama hizi hata sisi hapa ndani tunatumia utambulisho fake ila niwaoga kuzungumza ukweli wa mambo.

N:B hizi habari za kuteteana kwamba ameanza kwetu anakuja kwenu kama wanavyodai wapinzani bila kuchukulia uzito wa suala lenyewe upuuzwe nao wapuuzwe wamekosa dira badala ya kusimama kama taifa kukemea fedha za wastaafu wanalia kila siku mitaani wanashabikia vitu vya ajabu.
Hoja za CAG zinawatesa mnooooooo![emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Andika wewe kwa kuwa una ushahidi wa issue yenyewe au peleka taarifa na ushahidi kwenye gazeti la Tanzanite au gazeti lako Tanzania Daima mkuu.
Is Tanzanite an investigative newspaper? Kilangila.
 
Habari wakuu

Nimefatilia habari mbalimbali zinazochapishwa kwenye gazeti la tanzanite,nadiriki kusema Mmiliki wa chombo hiki cha habari anauchungu na raslimali za taifa letu kuliwa na watu wachache wenyekujivika ngozi ya kondoo machoni pa watu.

Sote tunajua hakuna jambo gumu kama kutoa taarifa nyeti kwa umma kama hizi hata sisi hapa ndani tunatumia utambulisho fake ila niwaoga kuzungumza ukweli wa mambo.

N:B hizi habari za kuteteana kwamba ameanza kwetu anakuja kwenu kama wanavyodai wapinzani bila kuchukulia uzito wa suala lenyewe upuuzwe nao wapuuzwe wamekosa dira badala ya kusimama kama taifa kukemea fedha za wastaafu wanalia kila siku mitaani wanashabikia vitu vya ajabu.
Musiba yupi unayemuongelea! Yaani Cyprian Musiba au Obeid Mlaga, unazungumziaje mtu ambaye amedanganya jina lake..huyu jamaa hadi leo kama Musiba ndo jina lake au Mlaga. Isitoshe hana hata cheti cha form four. Jembe lingekuwa jembe lisingeshikwa akili na vilaza wa chama chake bora angeteua ma teknocrats tu..
 
Labda kama unamaanisha uzalendo (kwa muktadha wa awamu hii),ila sio uzalendo asilia...
 
Back
Top Bottom