Lole Gwakisa
JF-Expert Member
- Nov 5, 2008
- 4,768
- 2,361
Mpe jimbo akagombee ubunge.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Habari wakuu
Nimefatilia habari mbalimbali zinazochapishwa kwenye gazeti la tanzanite,nadiriki kusema Mmiliki wa chombo hiki cha habari anauchungu na raslimali za taifa letu kuliwa na watu wachache wenyekujivika ngozi ya kondoo machoni pa watu.
Sote tunajua hakuna jambo gumu kama kutoa taarifa nyeti kwa umma kama hizi hata sisi hapa ndani tunatumia utambulisho fake ila niwaoga kuzungumza ukweli wa mambo.
N:B hizi habari za kuteteana kwamba ameanza kwetu anakuja kwenu kama wanavyodai wapinzani bila kuchukulia uzito wa suala lenyewe upuuzwe nao wapuuzwe wamekosa dira badala ya kusimama kama taifa kukemea fedha za wastaafu wanalia kila siku mitaani wanashabikia vitu vya ajabu.
Akikujibu Broo niite. Muhudumu niongezee kirikuu nyingine kesho niamke saa nane nikute hotuba zishapitaKama ni mzalendo mwambie aandike kuhusu ufisadi wa kivuko na nyumba za serikali.....
Au pesa iliyojenga hotel ya Makonda pale mwanza pesa alizotoa wapi?
Akiweza kutueleza ufisadi wa Magufuli na Makonda mimi nitaanza kulinunua"
Hana uzalendo wowote huyu ni kujikomba akitafuta kuteuliwaHabari wakuu
Nimefatilia habari mbalimbali zinazochapishwa kwenye gazeti la tanzanite,nadiriki kusema Mmiliki wa chombo hiki cha habari anauchungu na raslimali za taifa letu kuliwa na watu wachache wenyekujivika ngozi ya kondoo machoni pa watu.
Sote tunajua hakuna jambo gumu kama kutoa taarifa nyeti kwa umma kama hizi hata sisi hapa ndani tunatumia utambulisho fake ila niwaoga kuzungumza ukweli wa mambo.
N:B hizi habari za kuteteana kwamba ameanza kwetu anakuja kwenu kama wanavyodai wapinzani bila kuchukulia uzito wa suala lenyewe upuuzwe nao wapuuzwe wamekosa dira badala ya kusimama kama taifa kukemea fedha za wastaafu wanalia kila siku mitaani wanashabikia vitu vya ajabu.
Andika wewe kwa kuwa una ushahidi wa issue yenyewe au peleka taarifa na ushahidi kwenye gazeti la Tanzanite au gazeti lako Tanzania Daima mkuu.Kama ni mzalendo mwambie aandike kuhusu ufisadi wa kivuko na nyumba za serikali.....
Au pesa iliyojenga hotel ya Makonda pale mwanza pesa alizotoa wapi?
Akiweza kutueleza ufisadi wa Magufuli na Makonda mimi nitaanza kulinunua"
Huyo ni Musiba mwenyewe anapigia chapuo ujinga wake na kuuita uzalendo, uzalendo my foot!Hana uzalendo wowote huyu ni kujikomba akitafuta kuteuliwa
Habari wakuu
Nimefatilia habari mbalimbali zinazochapishwa kwenye gazeti la tanzanite,nadiriki kusema Mmiliki wa chombo hiki cha habari anauchungu na raslimali za taifa letu kuliwa na watu wachache wenyekujivika ngozi ya kondoo machoni pa watu.
Sote tunajua hakuna jambo gumu kama kutoa taarifa nyeti kwa umma kama hizi hata sisi hapa ndani tunatumia utambulisho fake ila niwaoga kuzungumza ukweli wa mambo.
N:B hizi habari za kuteteana kwamba ameanza kwetu anakuja kwenu kama wanavyodai wapinzani bila kuchukulia uzito wa suala lenyewe upuuzwe nao wapuuzwe wamekosa dira badala ya kusimama kama taifa kukemea fedha za wastaafu wanalia kila siku mitaani wanashabikia vitu vya ajabu.
Kajinyonge!Huyo ni Musiba mwenyewe anapigia chapuo ujinga wake na kuuita uzalendo, uzalendo my foot!
Xy%$# zake
Ohooo, atawageukaje wanaomtuma? Kilangila.Kama ni mzalendo mwambie aandike kuhusu ufisadi wa kivuko na nyumba za serikali.....
Au pesa iliyojenga hotel ya Makonda pale mwanza pesa alizotoa wapi?
Akiweza kutueleza ufisadi wa Magufuli na Makonda mimi nitaanza kulinunua"
Hoja za CAG zinawatesa mnooooooo![emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Habari wakuu
Nimefatilia habari mbalimbali zinazochapishwa kwenye gazeti la tanzanite,nadiriki kusema Mmiliki wa chombo hiki cha habari anauchungu na raslimali za taifa letu kuliwa na watu wachache wenyekujivika ngozi ya kondoo machoni pa watu.
Sote tunajua hakuna jambo gumu kama kutoa taarifa nyeti kwa umma kama hizi hata sisi hapa ndani tunatumia utambulisho fake ila niwaoga kuzungumza ukweli wa mambo.
N:B hizi habari za kuteteana kwamba ameanza kwetu anakuja kwenu kama wanavyodai wapinzani bila kuchukulia uzito wa suala lenyewe upuuzwe nao wapuuzwe wamekosa dira badala ya kusimama kama taifa kukemea fedha za wastaafu wanalia kila siku mitaani wanashabikia vitu vya ajabu.
Is Tanzanite an investigative newspaper? Kilangila.Andika wewe kwa kuwa una ushahidi wa issue yenyewe au peleka taarifa na ushahidi kwenye gazeti la Tanzanite au gazeti lako Tanzania Daima mkuu.
Ukweli unauma mkuuiAndika wewe kwa kuwa una ushahidi wa issue yenyewe au peleka taarifa na ushahidi kwenye gazeti la Tanzanite au gazeti lako Tanzania Daima mkuu.
Nazinazogawiwa njiani kama njugu zimefika ngapiAandike na yale maburungutu ya pesa yanayotoka hazina kwenda nyumba nyeupe maana yanazidi tr 4
Musiba yupi unayemuongelea! Yaani Cyprian Musiba au Obeid Mlaga, unazungumziaje mtu ambaye amedanganya jina lake..huyu jamaa hadi leo kama Musiba ndo jina lake au Mlaga. Isitoshe hana hata cheti cha form four. Jembe lingekuwa jembe lisingeshikwa akili na vilaza wa chama chake bora angeteua ma teknocrats tu..Habari wakuu
Nimefatilia habari mbalimbali zinazochapishwa kwenye gazeti la tanzanite,nadiriki kusema Mmiliki wa chombo hiki cha habari anauchungu na raslimali za taifa letu kuliwa na watu wachache wenyekujivika ngozi ya kondoo machoni pa watu.
Sote tunajua hakuna jambo gumu kama kutoa taarifa nyeti kwa umma kama hizi hata sisi hapa ndani tunatumia utambulisho fake ila niwaoga kuzungumza ukweli wa mambo.
N:B hizi habari za kuteteana kwamba ameanza kwetu anakuja kwenu kama wanavyodai wapinzani bila kuchukulia uzito wa suala lenyewe upuuzwe nao wapuuzwe wamekosa dira badala ya kusimama kama taifa kukemea fedha za wastaafu wanalia kila siku mitaani wanashabikia vitu vya ajabu.
Uzalendo ni kusifia ujinga, ufisadi was nyumba za serikali, ujenzi was airport Chato, kupigwa risasi TAL na wizi wa Trillion 1.5. Kilangila.Hivi neno "Uzalendo" awamu hii lina definition ngapi?