Cyprian Majura Musiba ni nani na anatumwa na nani?

Cyprian Majura Musiba ni nani na anatumwa na nani?

Mbona yupo vizuri mkuu zaidi ya hao wasomi,katibu mkuu w/mambo ya ndani kaulizwa suala la sare hewa kakosa cha kujibu na huenda ni msomi mzuri kuliko comrade musiba.
 
Itakua vema zaidi endapo akateuliwa itasaidia kudeal na viongozi wala rushwa,wastafu wanalia kila siku mafao yao kumbe kuna mtu kachota kajikausha.
 
Musiba aliposema kuwa Tundu Lissu na Freeman Mbowe wanastahili kuuawa, siku chache baadae Tundu Lissu akashambuliwa kwa risasi. Hakuna mamlaka yoyote iliyomhoji. Sio polisi, sio DCI. Hata Waziri wa usalama wa ndani alikaa kimya. Rais naye akakaa kimya.

Juzi gazeti la Tanzanite na Fahari yetu yanayomilikiwa na Musiba na ambayo kimsingi yanalindwa na mamlaka kwa ajili ya kuchafua watu yameripoti kuwa kuna njama zimepangwa za kumuua Musiba. Magazeti hayo ya Musiba yamewataja Wanaharakati, wanasiasa, polisi, wanadiplomasia na watu mashuhuri katika mpango huo wa mauaji. Haraka sana mamlaka zile zile zilizofumbia macho na masikio taarifa za kuuawa Tundu Lissu na Freeman Mbowe zimeanza kuwahoji watuhumiwa katika sakata hilo ambapo tayari Mkurugenzi wa Jamii Forum Bwana Mello ameshahojiwa.

Ndiposa Abdulrahaman Kinana na Yusuf Makamba ambao nao hawajasazwa katika ubatizo wa moto unaotokana na Joka walilolifuga na kulilisha wao wenyewe leo wanahoji tena ni nani aliyeko nyuma ya Musiba?

Nani namuuliza Makamba hivi uliposema Kikwete alibatiza watu kwa maji lakini Magufuli atawabatiza kwa MOTO ulidhani wewe na familia yako mpo salama sana kiasi kwamba ubatizo huu moto usibgewahusu?

Hakuna aliyeko salama na yeyote anayedhani yuko salama huyo ndiye hana usalama hata kidogo. Hili Joka la mdimu likimaliza au kukinahi kula watoto wa majirani huwa lina tabia ya kurudi ndani na kula watoto nyumbani.

Siungi mkono vitendo viovu vya Musiba vya kuchafua mtu yeyote. Lakini pia na ninyi jifunzeni kulaani watu wengine wanapochafuliwa. Mlikaa kimya wengine walipochafuliwa na pengine nanyi mlikuwa sehemu ya kuchafua wengine ndio maana sasa watu wapo kimya ninyi mnapochafuliwa.

The law of Karma is REAL! What goes around comes around.

Acheni kuzunguka mbuyu, Musiba ni Spika tu, yeye ni kipaza sauti. Na anayezungumza kupitia kipaza sauti hicho (Spika) mnamfahamu na mnamjua vema. Onesheni uanaume mumkabili hadharani na kiume. Tusi likitolewa kupitia Spika huwa hatupambani na Spika bali tunapambana na mzungumzaji. Ukiivunja Spika na kumuacha mzungumzaji halisi atatafuta spika/kipaza sauti/forum nyingine na ataendelea kukutukana.

#MwagaPombe2020

Remmy Cameroon
Sauti ya wasio na sauti
 
Nashangaa kosa alilofanya badala ya kuhojiwa na polisi, eti kapelekwa kwenye balaza la wazee waliopendekeza jina la JPM kuwa mgombea wa CCM, aisee makamba na kinana nimewashangaa sana
 
musiba analidwa na bashite na kwakua bashite mtoto tukutu kwa baba agusiki anadeka baba atafanyaje sasa anamuangalia tu, hawa wana lumumba wanajua hilo tunawashangaa wanalalamika kwetu wayamalize wao na vikao vyao vya ndani

tatizo sasa bashite na baba yake huwa hataki kuzidiwa umarufu sasa hivi wanamgeuzia kibao musiba hilo musiba akae akijua mda wowote anatolewa kafala
 
Umeandika vema kama mtu huru ila umemaliza kwa kujionesha ujinga frani ,
Musiba aliposema kuwa Tundu Lissu na Freeman Mbowe wanastahili kuuawa, siku chache baadae Tundu Lissu akashambuliwa kwa risasi. Hakuna mamlaka yoyote iliyomhoji. Sio polisi, sio DCI. Hata Waziri wa usalama wa ndani alikaa kimya. Rais naye akakaa kimya.

Juzi gazeti la Tanzanite na Fahari yetu yanayomilikiwa na Musiba na ambayo kimsingi yanalindwa na mamlaka kwa ajili ya kuchafua watu yameripoti kuwa kuna njama zimepangwa za kumuua Musiba. Magazeti hayo ya Musiba yamewataja Wanaharakati, wanasiasa, polisi, wanadiplomasia na watu mashuhuri katika mpango huo wa mauaji. Haraka sana mamlaka zile zile zilizofumbia macho na masikio taarifa za kuuawa Tundu Lissu na Freeman Mbowe zimeanza kuwahoji watuhumiwa katika sakata hilo ambapo tayari Mkurugenzi wa Jamii Forum Bwana Mello ameshahojiwa.

Ndiposa Abdulrahaman Kinana na Yusuf Makamba ambao nao hawajasazwa katika ubatizo wa moto unaotokana na Joka walilolifuga na kulilisha wao wenyewe leo wanahoji tena ni nani aliyeko nyuma ya Musiba?

Nani namuuliza Makamba hivi uliposema Kikwete alibatiza watu kwa maji lakini Magufuli atawabatiza kwa MOTO ulidhani wewe na familia yako mpo salama sana kiasi kwamba ubatizo huu moto usibgewahusu?

Hakuna aliyeko salama na yeyote anayedhani yuko salama huyo ndiye hana usalama hata kidogo. Hili Joka la mdimu likimaliza au kukinahi kula watoto wa majirani huwa lina tabia ya kurudi ndani na kula watoto nyumbani.

Siungi mkono vitendo viovu vya Musiba vya kuchafua mtu yeyote. Lakini pia na ninyi jifunzeni kulaani watu wengine wanapochafuliwa. Mlikaa kimya wengine walipochafuliwa na pengine nanyi mlikuwa sehemu ya kuchafua wengine ndio maana sasa watu wapo kimya ninyi mnapochafuliwa.

The law of Karma is REAL! What goes around comes around.

Acheni kuzunguka mbuyu, Musiba ni Spika tu, yeye ni kipaza sauti. Na anayezungumza kupitia kipaza sauti hicho (Spika) mnamfahamu na mnamjua vema. Onesheni uanaume mumkabili hadharani na kiume. Tusi likitolewa kupitia Spika huwa hatupambani na Spika bali tunapambana na mzungumzaji. Ukiivunja Spika na kumuacha mzungumzaji halisi atatafuta spika/kipaza sauti/forum nyingine na ataendelea kukutukana.

#MwagaPombe2020

Remmy Cameroon
Sauti ya wasio na sauti
 
Back
Top Bottom