Et exactly utafikiri mama poa.Exactly ,kabisa ni yeye ,itapendeza akikaa bench,ili aandike vizuri
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Et exactly utafikiri mama poa.Exactly ,kabisa ni yeye ,itapendeza akikaa bench,ili aandike vizuri
Mkuu duh hii ndy naiona Leohatari kubwa !
nimeipenda hii hashtag #MwagaPombe2020Musiba aliposema kuwa Tundu Lissu na Freeman Mbowe wanastahili kuuawa, siku chache baadae Tundu Lissu akashambuliwa kwa risasi. Hakuna mamlaka yoyote iliyomhoji. Sio polisi, sio DCI. Hata Waziri wa usalama wa ndani alikaa kimya. Rais naye akakaa kimya.
Juzi gazeti la Tanzanite na Fahari yetu yanayomilikiwa na Musiba na ambayo kimsingi yanalindwa na mamlaka kwa ajili ya kuchafua watu yameripoti kuwa kuna njama zimepangwa za kumuua Musiba. Magazeti hayo ya Musiba yamewataja Wanaharakati, wanasiasa, polisi, wanadiplomasia na watu mashuhuri katika mpango huo wa mauaji. Haraka sana mamlaka zile zile zilizofumbia macho na masikio taarifa za kuuawa Tundu Lissu na Freeman Mbowe zimeanza kuwahoji watuhumiwa katika sakata hilo ambapo tayari Mkurugenzi wa Jamii Forum Bwana Mello ameshahojiwa.
Ndiposa Abdulrahaman Kinana na Yusuf Makamba ambao nao hawajasazwa katika ubatizo wa moto unaotokana na Joka walilolifuga na kulilisha wao wenyewe leo wanahoji tena ni nani aliyeko nyuma ya Musiba?
Nani namuuliza Makamba hivi uliposema Kikwete alibatiza watu kwa maji lakini Magufuli atawabatiza kwa MOTO ulidhani wewe na familia yako mpo salama sana kiasi kwamba ubatizo huu moto usibgewahusu?
Hakuna aliyeko salama na yeyote anayedhani yuko salama huyo ndiye hana usalama hata kidogo. Hili Joka la mdimu likimaliza au kukinahi kula watoto wa majirani huwa lina tabia ya kurudi ndani na kula watoto nyumbani.
Siungi mkono vitendo viovu vya Musiba vya kuchafua mtu yeyote. Lakini pia na ninyi jifunzeni kulaani watu wengine wanapochafuliwa. Mlikaa kimya wengine walipochafuliwa na pengine nanyi mlikuwa sehemu ya kuchafua wengine ndio maana sasa watu wapo kimya ninyi mnapochafuliwa.
The law of Karma is REAL! What goes around comes around.
Acheni kuzunguka mbuyu, Musiba ni Spika tu, yeye ni kipaza sauti. Na anayezungumza kupitia kipaza sauti hicho (Spika) mnamfahamu na mnamjua vema. Onesheni uanaume mumkabili hadharani na kiume. Tusi likitolewa kupitia Spika huwa hatupambani na Spika bali tunapambana na mzungumzaji. Ukiivunja Spika na kumuacha mzungumzaji halisi atatafuta spika/kipaza sauti/forum nyingine na ataendelea kukutukana.
#MwagaPombe2020
Remmy Cameroon
Sauti ya wasio na sauti
Wewe ni mnafiki na una wivu.Halafu ule mwandiko wa Ile press release Ni wa January kabisa[emoji16][emoji16]
duh jamaa kawakaahatari kubwa !
Kumbe wewe ni mama poa !, safi sanaEt exactly utafikiri mama poa.
Nimerithi unafiki wa mama yako!Wewe ni mnafiki na una wivu.
Nimerithi unafiki wa mama yako!Wewe ni mnafiki na una wivu.
JE, KINACHOMLINDA MUSIBA CHAJULIKANA?
JE, KINACHOMLINDA MUSIBA CHAJULIKANA?
JADILI!
Nani, mimi Ery? Acha mas'khara ndugu! 😂 😂 😂Huyu naye anaweza kuteuliwa hata kuwa waziri !
namaanisha mzungumzaji kwenye video uliyoiwekaNani, mimi Ery? Acha mas'khara ndugu! 😂 😂 😂