Ukana Shilungo
JF-Expert Member
- Apr 17, 2012
- 3,041
- 2,422
2020 ATANYWEA MAJI KWENYE KARAI !! MUSIBA CPYRIANMembe kamnyoosha, siku hizi mkia kaukunjia kunako.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
2020 ATANYWEA MAJI KWENYE KARAI !! MUSIBA CPYRIANMembe kamnyoosha, siku hizi mkia kaukunjia kunako.
Iga na chagua mrengo tofauti uone kama hayajakupata ya tundu letu ,abby nunda na ali force ma fikra (R.I.P)Musiba amekuwa akiitetea Serikali pasipo woga, ameikosoa pasipo woga pale ilipoonekana kutochukua hata shida ya woote wenye nia mbaya na Serikali.
Mwandishi huyu na mmiliki Wa vyombo vya habari ni mfano Wa kuigwa
Hapo mwisho ina hakika Musiba anakijua anachokisema? Hv hujagundua anavyo hangaika kuripotibzile kariri? Na anapopotea akijaribu ku elaborate zile insha zakeDuniani binadamu tuko wa aina mbalimbali:
Waovu wakitetewa na waovu wenzao;
Waovu wakitetea maovu yao;
Wema wakitetewa kwa wema wao;
Wema wakitukanwa na waovu;
Na watu kama Musiba ambao kamwe hawaogopi kusema yaliyo moyoni mwao.
Afadhali niige uzalendo wa shetani kuliko wa musiba!Musiba amekuwa akiitetea Serikali pasipo woga, ameikosoa pasipo woga pale ilipoonekana kutochukua hata shida ya woote wenye nia mbaya na Serikali.
Mwandishi huyu na mmiliki Wa vyombo vya habari ni mfano Wa kuigwa
Mkereketwa njaaMusiba amekuwa akiitetea Serikali pasipo woga, ameikosoa pasipo woga pale ilipoonekana kutochukua hata shida ya woote wenye nia mbaya na Serikali.
Mwandishi huyu na mmiliki Wa vyombo vya habari ni mfano Wa kuigwa
Amekujibu sawa sawa na ID yako.Inadhirisha jinsi usivyokuwa na Elimu, unatumia Kiswahili hakimo kwenye Kamusi yeyote Duniani, ila Inawezekana imo kwenye Kamusi ya Chadema tu
Ameandika mwenyewe msibaama kweli, ukiyashangaa ya supuika yatakukuta haya ya kumswafi musiba!
Ni kweli ajira zimekuwa ngumu sana lakini hii ya kuajiriwa kumsifu musiba ni ngumu mno kuikubali.
Nina mashaka na mleta uzi kuwa huenda ni misiba mwenyewe kaja kupima kama bado anaweza rudia kuwatukana watu na au umeajiriwa kumpiga deki!
Jitahidi basi kumsihi Membe wamalizane kwa diipipii kama ana mabaki!
Vipi aigwe kuchafua watu?Musiba amekuwa akiitetea Serikali pasipo woga, ameikosoa pasipo woga pale ilipoonekana kutochukua hata shida ya woote wenye nia mbaya na Serikali.
Mwandishi huyu na mmiliki Wa vyombo vya habari ni mfano Wa kuigwa
Vipi aigwe kuchafua watu?
Musiba amekuwa akiitetea Serikali pasipo woga, ameikosoa pasipo woga pale ilipoonekana kutochukua hata shida ya woote wenye nia mbaya na Serikali.
Mwandishi huyu na mmiliki Wa vyombo vya habari ni mfano Wa kuigwa
Ndio imekuumakasema kuwa chadema wanatumiwa na FBI kuharibu nchi
TupoKama wasiojulikana hawapo basi hamna bandiko hapo