Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
So umeanza vizur EndeleaJina lake lililozoeleka nyumbani kwao kijijini ni MAAGI
baba yake ni marehemu MULAGA
mama yake alifariki mwaka Jana anaitwa NYAMAAGI
kaka yake mmoja alikuwa anaitwa MINYANYA naye ni marehemu
Alibadili jina la kuzaliwa au wamjualo nalo wa nyumbani kwa njia za mamlaka za kiapo cha kubadili majina kwa mujibu wa sheria za nchi hii.Wajameni nimepitia maeneo kadhaa watu wanabishana kuhusu jina halali na halisi la Cyprian Musiba wengine wanaomjua vizuri kwao hilo jina sio lake ni jina feki na la cheti feki, wajameni wanaomjua zaidi huyu mtangazaji aweke majina yake halali hapa.
Jina halituhusu,acha ateme madini,tuyajue magenge ya wahuni waliojificha kwenye siasa na demokrasi,ni mtu muhimu sana kwa sasa kuliko hilo jina ,hata mbwa ana jina lake tofauti na mbwa,alilopewa na anayemlinda,cha msingi kazi anaifanya kulisaidia taifa,kama anasema uongo mahakama zipo nendeni mkajimalizie hukoWajameni nimepitia maeneo kadhaa watu wanabishana kuhusu jina halali na halisi la Cyprian Musiba wengine wanaomjua vizuri kwao hilo jina sio lake ni jina feki na la cheti feki, wajameni wanaomjua zaidi huyu mtangazaji aweke majina yake halali hapa.
Never say Never to Mange Kimambi!!Mange Kimambi hamjui mtu huyu
Hahaha kweli wapumbavu husifianaJina halituhusu,acha ateme madini,tuyajue magenge ya wahuni waliojificha kwenye siasa na demokrasi,ni mtu muhimu sana kwa sasa kuliko hilo jina ,hata mbwa ana jina lake tofauti na mbwa,alilopewa na anayemlinda,cha msingi kazi anaifanya kulisaidia taifa,kama anasema uongo mahakama zipo nendeni mkajimalizie huko
Kama mnatoka kijiji kimoja vile. Nahitaji kukufahamu zaidi. Mafaili yetu hapa ofisini yanaonyesha kuwa Cyprian siyo lake lakini MUSIBA ni la babu yake kabisa mzaa baba yake. Kuna watu wamejaribu kutumia ujanja katika kuiba majina ya watu. Na yeye ni mmoja wao. Kuna wakati katika harakati zake za kielimu aliitwa Obeid - jina la kwanza. Alikuwa kijana mzuri lakini naona njaa imemtoa ufahamu. Wala hatumiwi kama watu wanavyofikiria. Anatafuta tu kasehemu ka kugangia njaa. Anajaribu kuongeza visibility yake kwa akina Bashite ili atupiwe angalau kamfupa tu.Jina lake lililozoeleka nyumbani kwao kijijini ni MAAGI
baba yake ni marehemu MULAGA
mama yake alifariki mwaka Jana anaitwa NYAMAAGI
kaka yake mmoja alikuwa anaitwa MINYANYA naye ni marehemu
Majina ndo hayo
Hajaiba jina la mtu
Namfaham vizuri
Ni kada mwaminifu wa ccm
Naskia jamaa alipata mafunzo ya redbrigade? Msaada wenu wadauWajameni nimepitia maeneo kadhaa watu wanabishana kuhusu jina halali na halisi la Cyprian Musiba wengine wanaomjua vizuri kwao hilo jina sio lake ni jina feki na la cheti feki, wajameni wanaomjua zaidi huyu mtangazaji aweke majina yake halali hapa.
kwaiyo bado kidogo naye atakuwa marehemu!Jina lake lililozoeleka nyumbani kwao kijijini ni MAAGI
baba yake ni marehemu MULAGA
mama yake alifariki mwaka Jana anaitwa NYAMAAGI
kaka yake mmoja alikuwa anaitwa MINYANYA naye ni marehemu
Mnao uwezo wa kuwakabili wamarekani waingereza na hata wajerumani? Au kinachowahangaisha ni albadir ya waislamu wa kweli na maombi ya makanisa ya wokovu?Jina halituhusu,acha ateme madini,tuyajue magenge ya wahuni waliojificha kwenye siasa na demokrasi,ni mtu muhimu sana kwa sasa kuliko hilo jina ,hata mbwa ana jina lake tofauti na mbwa,alilopewa na anayemlinda,cha msingi kazi anaifanya kulisaidia taifa,kama anasema uongo mahakama zipo nendeni mkajimalizie huko