peno hasegawa
JF-Expert Member
- Feb 24, 2016
- 14,255
- 23,949
Cyprian Musiba, kulingana na kiasi kikubwa cha fedha anazodaiwa kuzilipa, kwa kupitia amri za mahakama kuu, ni nini madhara yake iwapo hana uwezo wa kuzilipa na hana mali za kuuzwa ili kupata Tsh 13 bilioni?
Mimi ninaona dalili za Cyprian Musiba kukimbilia ughaibuni .
Mimi ninaona dalili za Cyprian Musiba kukimbilia ughaibuni .