Cyprian Musiba Anadaiwa zaidi ya Tsh13 bilioni kwa amri za Mahakama Kuu, iwapo atashindwa kulipa ni nini hatma yake?

Naunga mkono hoja , halafu ile taasisi inayochapisha magazeti yake itoe bil 5 za serikali halafu zilizobaki nyinyi chawa wake muimalizie
 
Wewe unamchangia kiasi gani tuanzie hapo kwanza.
 
Huyo ni mjinga mbona tulimuonya hapa hakusikia acha apate haki yake
 

Mwendazake hawajawahi kumtumia hata siku Moja. Ni hisia zenu mbofu tu.
 
Hiki kipengele cha pili ni cha ajabu kweli, kwa nini isingekuwa afungwe gerezani na kufanya kazi za umma mfano kufagia barabara, kufyeka majani na kukata miti/matawi, kusafisha vyoo vya umma kwenye maofisi ya umma, mahospitali etc etc??
Anayekudai sasa atanufaikaje na hizo shughuli za kijamii utakazofanya, atapataje pesa yake kwa njia hiyo.
 
Kama atakaa jela na kashindwa Kabisa kabisa kulipia bilioni 6 ,Sheria inasemaje?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…