Dr Akili
JF-Expert Member
- Aug 21, 2011
- 5,119
- 4,569
Hiyo adhabu narudia siyo proportional na kosa lililotendeka. Mahakama kuu ilihamaki. Kwani Membe ndiye kiongozi pekee aliyewahi kudhalilishwa kwa matusi? Mbona walisha tukanwa hadi marais, tena wakati mwingine matusi ya nguoni.Hukumu Ni Adhabu Hukumu ni Fundisho Kwako Mkosaji na Wengine! Mahakama Iko Sahihi! Atafute Bwana Wapeleke Hela ya Watu
Tusubiri maamuzi ya Mahakama ya Rufaa. Nina uhakika adhabu hiyo itapunguzwa kwa kiwango kikubwa sana. Ndiyo maana hata kabla ya muda wa siku 60 wa kuwakilisha hiyo rufaa haujamalizika, Membe ameenda kukazia hukumu na tayari dalali wa mahakama ameshateuliwa kunadi mali za Musiba. Askofu Mwamakula amesema hata kama watanadi kijiji chote cha Musiba, pesa hiyo haitapatikana.