Cyprian Musiba atakiwa kumlipa Membe Tsh. Bilioni 9 ndani ya siku 14

Cyprian Musiba atakiwa kumlipa Membe Tsh. Bilioni 9 ndani ya siku 14

Nafikiri wanatekeleza taratibu za kisheria zinazotakiwa kabla ya bwana musiba kwenda kuziba pengo lililoachwa wazi na Sabaya hujo magerezani.


Baada ya kukamilisha hatua hii, mahakama itaidhinisha utaratibu wa mali za Musiba kupigwa mnada. Itakapoonekana hana mali ya kufikia hiyo thamani atapelekwa gerezani.

Bilioni 9 ni parefu sana. Ingekuwa mikuoni 90, labda wenzake, Makonda na Sabaya wangemchangia. Lakini bilioni 9, ajiandae kisaikolojia kwenda jela.

Funzo zuri sana kwa machawa wa watawala.
Kesi za hivyo huwa hazifungi
 
Wacha wakomoane, ila kuna ya kujifunza na hayo na yale yanayoendelea humu Jamvini. Ipo siku kitaelweka.

Naona kuna ugaidi wa kimtandao unaondelea kutokana na Taarifa hizi. Naona kumetokea mwanya wa wale waliokuwa na "visongo vya usasi" kuendelea kutoa nyongo.
chochote kilichosababisha mapenzi yake au harakati zake za kashfa, inaonekana kwangu, ni mapenzi sawa na wengi hapa.... wanaoendeleza upotoshaji wa chuki na kukashifu kwa kuzingatia amri/taarifa hii

Kinachoonekana, ingawa ni haki, kinaweza kutafutwa na kutumiwa na wengi ambao wamefikia pahali sawa na Membe.

Muda utasema. Hata hivyo, mahakama hazipaswi kutumiwa kama silaha ya kulipiza kisasi

Ipo siku Ugaidi huu wa mtandaoni utaenda kutolewa ushauri,hukumu, na hata amri za kukabiliana nao.

Pole Mama Janeth.
R.I.P mwamba.

Mzee wa sonono. Mkuu acha kumchanganya Mama Janeth na mambo yenu ya Usukuma gang
 
Kama ni kweli, basi kuna dosari kubwa kwa hawa majaji wetu na sheria zetu. Watu wote ni sawa. Hivyo ndivyo tunavyoamini. Na katiba yetu ya nchi inasema hivyo. Vitabu vitakatifu vinasema hivyo. Hivyo thamani ya Membe na thamani yangu na wewe iko sawa. Hivi ni kweli kwamba mimi na wewe tukichafuliwa kama alivyochafuliwa Membe, tutalipwa hizo Tsh billioni 9 kila mmoja kweli?
Hivi una akili kweli wewe???
Unajua maana ya kuchafuliwa?
Wewe unapaswa kuwa kundi moja na Sukuma gang
 
Hapa tunatolewa kwenye ripoti ya CAG kwa ujanja na mwisho tutaisahau kabsaaa
 
Ikiwezekana membe amlipie akae ndani kenge maji huyu
Upo sahihi. Membe alipe gharama za kumuweka gerezani Musiba na kisha Musiba awekwe ndani atumikie kifungo iwapo atashindwa kulipa fidia.
 
Bora amsamehe tu! Tugange yajayo.
Nafikiri Muda ni malipo tosha!
Ni kweli kusameheana ni jambo jema lakini mtu hasamehewi bila kuomba msamaha na kutubu. Jee Musiba kafanya hivyo?
Huyu hajafanya hivyo, alipaswa kusimama hadharani na kutubu na kuweka wazi nani alikuwa anamtuma, alikuwa anafaidika nini na mategemeo yake yalikuwaje!
 
Inatakiwa afanye Kama mchungaji Msigwa aombe radhi hadharani.
Ile ya Msigwa ni wazi kabisa ilikuwa shambulio la kisiasa lenye habari za uongo zisizo fanyiwa uchunguzi na ndio maana zinasameheka kirahisi na Kinana alijua kuwa akikomaa na kesi ile baada ya hapo hakuna Mwanasiasa atakaye kuwa salama akiwemo yeye mwenyewe.
Lakini Musiba alichokuwa anafanya sio siasa bali ni mashambulio ya udhalilishaji dhidi ya wengine.
 
Musiba asipotuaga kwa pressure ataishia kuwa chizi, siku hizi nikiitazama ile sura yake namuona hayuko na amani, moyo wake mzito.

Angefanya atleast public apology angeweza kusamehewa na wale aliowakosea, ili apate amani, kwani nao ni binadamu pia, kuliko kukaa kwake kimya huku akiteketea ndani kwa ndani.
Aliwapa pressure watu wasio na hatia. Sasa ni wakati wake.

Yawezekana, kwake hata kufa siyo tatizo maana alishabikia sana watu wengine kuuawa.
 
Mh siku 14 hizo hizo wengi wetu ukituambia tubuni biashara from scratch ya kutupa laki 3 ndani ya hizo siku ni umetugea mtihani wa milele ila Musiba ndiyo azalishe 9B?
ndo ajue dhambi ya matusi haiishii hapo tu.
 
😂😂😂 Aisee wale watu zamani walikuwa watu muhimu Sana
Aacha kabsa wale jamaa, nilimwachia saa atengeneze kurudi baada ya wiki mbili ananiambia hana kumbukumbu kama nilimwachia saa, nilimkimbia wa kwanza kwa dasabu kama hizo.
 
Kila ugomvi una gharama zake na hizo ndizo gharama za hao wawili wengine wanasubili akisharipwa tu wafungue tena kesi nyingine.
Naona Kama ninatazama mtu kufungwa zaidi ya miezi sita na kutoka kwa msamaha wa raisi.
 
Hizi product za jiwe zina maovu mengi sana. Rejea Bashite, 7ya, Musiba n.k
 
Back
Top Bottom