Dawa ya Uvccm
JF-Expert Member
- Aug 3, 2021
- 2,223
- 4,717
mashoga ya magufuli mtapinga maana akili zenu zinawaza bending tu hakuna kingine.Nyumbu wataamimi hili igizo kama la Sabaya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mashoga ya magufuli mtapinga maana akili zenu zinawaza bending tu hakuna kingine.Nyumbu wataamimi hili igizo kama la Sabaya
Wewe mzee huna akili.Nyumbu wataamimi hili igizo kama la Sabaya
Jitu jinga kama lile wala sio la kuonea huruma.Musiba asipotuaga kwa pressure ataishia kuwa chizi, siku hizi nikiitazama ile sura yake namuona hayuko na amani, moyo wake mzito.
Angefanya atleast public apology angeweza kusamehewa na wale aliowakosea, ili apate amani, kwani nao ni binadamu pia, kuliko kukaa kwake kimya huku akiteketea ndani kwa ndani.
Rais kwa mjibu ya katiba yetu hashitakiwi kwa kesi za jinai (criminal cases), kwa kesi za madai ni ruhusa kumshitaki amalizapo kipindi cha uraisi. Umuhimu wa hivi vifungu ni kuletaa utulivu wa nchi na kuwatunuku amani na utulivu watu waliowahi kushika kazi hii ngumu, ya kipekee na yenye mamlaka ya juu kuliko zote kwenye taifa hili. Wangeweza kung'ang'ania kuwa maraisi kama wangetaka kwa mbinu mbali mbali hususani kubadili vifungu vya baadhi ya vifungu vya katiba.Katiba yetu Ina mwanya. Inaposema kila mtu ni sawa , jiulize mbona Rais hashtakiwi au mbona Rais halipi Kodi?.
Pia kwenye sheria ya tort Kuna kitu kinaitwa punitive damages , yani fidia Kama adhabu.
uwezo wa musiba kulipa ni elfu 20000 kila mwezi , na atatekeleza hilo kikamilifu tuone kama atawekwa kizuizini
Rais kwa mjibu ya katiba yetu hashitakiwi kwa kesi za jinai (criminal cases), kwa kesi za madai ni ruhusa kumshitaki amalizapo kipindi cha uraisi. Umuhimu wa hivi vifungu ni kuletaa utulivu wa nchi na kuwatunuku amani na utulivu watu waliowahi kushika kazi hii ngumu, ya kipekee na yenye mamlaka ya juu kuliko zote kwenye taifa hili. Wangeweza kung'ang'ania kuwa maraisi kama wangetaka kwa mbinu mbali mbali hususani kubadili vifungu vya baadhi ya vifungu vya katiba.
Sasa huyo Mwembe wako unamliganishaje na rais. Hana tofauti na mimi au wewe.
Basi mahakama inapasa pia kuangalia namna bora ya mdai na wadaiwa kulipana, na wala siyo kwa malipo yakamilike ndani ya siku 14 kama vile ambavyo oda ilivyotolewa.
So adhabu alishapata? 🤣🤣🤣🤣 Kwa style hii kweli ccm itatawala milele na watu hawatakuwa na woga.
Vipi hili somo haliwahusu waliokuwa wanamtukana na kumkashfu Magufuli mitandaoni?
Vipi chawa waliokuwa wanamtukana Magufuli kama Mange kimambi, Tobias Marandu, kigogo
Been sanane baada ya kupost PhD feki ya Magufuli na Azory Gwanda baada ya kuelezea kinachofanya ukiru.Tupe ushahidi waliokamatwa na kuuawa
Atawapiga tekniki za Hakimi hawataamini
Huyu bwana ni hatari sana, watu kama hawa wako radhi nchi iangamie kwa kisingizio cha kumlinda rais.Akipelekwa jela ni sahihi kabsaa.Mimi nilishangaa anamshambulia Membe nikajua jamaa ni boya. Kuna watu kuwashambulia hivi hivi ni hatari.
Makonda na Musiba sikuwahi fikiria watakuwa kama walivyo sasa.Dah kweli maisha ni story ndefu...
Huyu mwamba Nikiangalia clip za enzi zile nacheka sana
Huo ujanja janja hapana akanyee debe, alikuwa akisema ameyasema haya akiwa na akili timamu.Hapana aombe radhi hadharani na kujutia makosa yake. Akubali kutembelea magoti kwenda kwa Membe. Maana sidhani Kama Membe ana shida na hizo pesa bali kumfunza adabu asirudie huo ujinga Tena.
Hahaha! Nimecheka kwa sauti, ila fundi saa ni wezi aisee.Nikikumbuka alivyokuwa anaongea huku katoa macho Kama fundi saa, nabaki nacheka tu
Ana nini Cha kufilisiwa
Chochote kilichopoAna nini Cha kufilisiwa