Cyprian Musiba atakiwa kumlipa Membe Tsh. Bilioni 9 ndani ya siku 14

Cyprian Musiba atakiwa kumlipa Membe Tsh. Bilioni 9 ndani ya siku 14

Nakumbuka mtikila alitaka kukwepa kumlipa jamaa flani baada ya mahakama kutoa hukumu. Mahakama ikatoa hukumu tena kama hatamlipa jamaa chini ya masaa 24 akamatwe na afungwe miaka 3 na kulipa. Mtikila alilipa faster siku iyoiyo.
Mamb ya kisheria na amri ya Mahakama ni magum sio ya kufanyia mzaha.
 
Musiba asipotuaga kwa pressure ataishia kuwa chizi, siku hizi nikiitazama ile sura yake namuona hayuko na amani, moyo wake mzito.

Angefanya atleast public apology angeweza kusamehewa na wale aliowakosea, ili apate amani, kwani nao ni binadamu pia, kuliko kukaa kwake kimya huku akiteketea ndani kwa ndani.
KIsheria hukumu ni sawa lakini si haki. Hivi mtu anawezaje kudai ana thamani ya mabilioni wakati hizo hela yeye mwenyewe hana?

Sheria inapaswa kubadiilishwa ili kuondoa,mianya ya kukomoana kwq mgongo wa sheria . Sheria itamke tu kama mtu akitiwa hatiani alazimike kukanusha yale aliyoyasema na pia kulipa gharama za kesi tu.
 
Hajafunguliwa mashitaka sio kwamba ni innocent ila bado analindwa na hii serikali haramu ambayo haina ridhaa ya wananchi.

Siku zinakuja huyo mjinga lazima atanyea tu debe kwani amefanya uovu mwingi sana ikiwa ni pamoja na kuunda genge la wasiojulikana ili kuua vichomi wa dikteta Magufuli. Bure kabisa.
Analindwaje? Acha kudanganyana na wenzio yapelekwe mashtaka mahakamani na ushahidi uwepo siyo maneno maneno tu. Sisi tuliamininishwa Makonda ni mbaya sana. Tunashangaa anadunda tu mtaani.
 
Nani kamuongelea Makonda. Mbowe kaanza kuhangaika leo? Kila kitu lazima mumuingize Mbowe sijui kwa Nini. Makonda tangu apigwe Chini ubunge Hakuna mtu mwenye time naye maana watu waliridhika kakosa vyote.
So adhabu alishapata? 🤣🤣🤣🤣 Kwa style hii kweli ccm itatawala milele na watu hawatakuwa na woga.
 
Mwanaharakati huru Cyprian Majura Musiba yupo katika hali ngumu kwa miaka 12 ijayo kama wazalendo uchwara watashindwa kuanzisha harambee kulipia michango ya fidia ya mabilioni ya shilingi , maana followers / mashabiki wake wote wa majukwaa ya mitandaoni wa 'mute'
 
KIsheria hukumu ni sawa lakini si haki. Hivi mtu anawezaje kudai ana thamani ya mabilioni wakati hizo hela yeye mwenyewe hana?

Sheria inapaswa kubadiilishwa ili kuondoa,mianya ya kukomoana kwq mgongo wa sheria . Sheria itamke tu kama mtu akitiwa hatiani alazimike kukanusha yale aliyoyasema na pia kulipa gharama za kesi tu.
Kimsingi sijui mahakama ili calculate vipi gharama za mdai mpaka kuja na kiasi hicho walichotaka Musiba alipe..
 
KIsheria hukumu ni sawa lakini si haki. Hivi mtu anawezaje kudai ana thamani ya mabilioni wakati hizo hela yeye mwenyewe hana?

Sheria inapaswa kubadiilishwa ili kuondoa,mianya ya kukomoana kwq mgongo wa sheria . Sheria itamke tu kama mtu akitiwa hatiani alazimike kukanusha yale aliyoyasema na pia kulipa gharama za kesi tu.

Huwezi kufuta fidia kwenye kesi za madai hasa kuchafuliwa jina.
 
Back
Top Bottom