MtamaMchungu
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 8,974
- 12,662
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kilakitu ni fulsa broMembe kaenda kukazia hukumu bado shangazi..
Je wale jamaa wa changia Musiba waliishia wapi?
Walipata bei gani? Zilienda wapi?
***** ushuzi lazma umtoke kama gari moshiWatazipata wapi 9 billion?View attachment 2589369
Basi mahakama inapasa pia kuangalia namna bora ya mdai na wadaiwa kulipana, na wala siyo kwa malipo yakamilike ndani ya siku 14 kama vile ambavyo oda ilivyotolewa.Case ya madai hiyo
Mungu alifanya jambo jema sana kukubali yule mtu afeJamaa angekuwa anatamba Sana. Kwankweli ule utawala ulikuwa wa kiibilisi.
Ndio maana hata kwenye kesi ya Lissu kumuita Magufuli ni dikteta ilishindwa mahakamaniDefamation haina uwakilishi Kwa mjibu wa Sheria zetu, Yule aliyetukanwa ndiye anatakiwa kulalamika tu na sio vinginevyo.
Acheni kukurupuka kupost vitu msivyovifahamu
Hapo madalali washapekua mafile ardhi wanajua mali zote zilizo kwa jina lake, hapo mahakama itatoa kibali cha kuuza mali kufidiaTatizo anadeal na makachero, watakuwa wanajua Mali zake zote.
Ukimtegemea mwanadamuMagufuli alikuwa hana akili timamu.
Angekuwa na akili timamu asingetumia vijana wa hovyo kuujenga msingi wake.
Mwisho wa siku tukaubomoa msingi wenyewe
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Halafu Sukuma Gang kama hawapo vile kumsaidia mwehu mwenzao.
kila ubaya utalipwaHaya sasa wazee wa kazi wapo wanapiga jaramba, if this happen Musiba 'll be finished!!!View attachment 2589884