🤣Ila membe bana huu msemo niguse ninuke ulikuwa mahsus kwa Magufuli. Magufuli alipanic balaa.
Huh!Mwambie membe Yuko mitaa ya mahakamani anasubiri chake
Hahahahahaajhaaaa...watu mna maneno ya dhihaka ila Yana tafsiri paaanaHuko aliko aanze kumtegemea Mungu badala ya binaadam
KabisaaAlikuwa anatuandaa kuwa jamani mimi nipo mbali na atapofia membe
ujinga ipi hiyo Supu ya kokoto ? akuna defamation cku hz. Ni kuhabarishana.Bora aendelee kukaa kimya. Asitukumbushe ujinga wake..