D.B. Cooper: Tukio halisi la kusisimua lililogeuka hadithi ya 'Alfu lela ulela'

D.B. Cooper: Tukio halisi la kusisimua lililogeuka hadithi ya 'Alfu lela ulela'

Ni usiku wa manane Muda ambao Hua ninautumia kutafakari mambo kadhaa muhimu ktk shughuli zangu, na Leo Kama kawaida nilihitaji kutafakari kwa kina kuhusu Kijana Wangu ambae amekua mlevi wa kupindikia... Nina chukua simu yangu ili kujikumbusha kitu Fulani kutoka ktk Notes zangu kwenye simu hii, ndipo ninapo kumbana na kisa hiki. Ajabu Ni kua nlipanga kutafakari kwa DK 10 lkn hadi sasa ninaendelea kurudia kisa hiki Tena na Tena kwa masaa 2!
Asante sana mwandishi
Nikajua Ni Simulizi Nyingine. Umeanza Vizuri Kweli
 
Uko vizur katika uandishi

Siku nyingine haijafika mkuu....

Mkuu na mimi unitag umeniongezea hamu ya prison break season 5, D.B Scooper wakati anakata roho alitaja eneo alilozifukia zile pesa mbele ya jamaa wote, kilichotokea jamaa kila mtu na njia yake wakawa wanaelekea sehemu moja, hiyo ikamfanya yule askari kuhisi pale kuna kitu.

Yaani nimevyonza peke yangu, kuona kopi lote lile

Nasubiri muendelezo


Safi sana mkuu. Lini sasa muendelezo.

sasa hela kazitumia wapi huyu jamaa.. siondoki hapa mpaka mwisho

Mkuu inaendelea lini? ikiendela unitag

Mkuu @thebold part two vipi ?? Ukiweka tafadhali usisahau kuniita

Upo vzr aisee mie mvivu wa kusoma ila nmesoma kwa bidii na nkatamani kuendelea

e bhana bro umetisha naomba unitag part two ikianza

VERY Intersting story dah ukipata nafas iendleze mkuu...

Umezidi kunipandishia hamu [emoji14] [emoji14]

Daah,eeehee ikawaje...

Sawa kiongozi tunasubiri iyo story ndugu

The bold naendelea kuusoma mchezo let go....

Loading...

Daa wewe noma tupe zaidi ii story inafundisha zaidi

Duh imenoga mkuu

Mkuu tunakusubiri

Mkuu usingizi umekata lete vitu

Dah yaan umenikata moto!! Nilidhan tanesco wamekata umeme[emoji16]

Kaka lini mzigo unaendelea..... Maana ni bonge la season....??
Fbi si ndio wachunguzj mahili kabisa duniani ktk kubaini makosa... Cooper aliwawezaje.....??
Nyongeza mpya inaanzia #7
 
Back
Top Bottom