Immortal_MH
JF-Expert Member
- May 14, 2013
- 1,240
- 2,252
Kivipi mkuu....?Bro umenishika
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kivipi mkuu....?Bro umenishika
Kwa Mara ya kwanza nasoma story yenye mengi kama hii! Mwendelezo ni tag nipate mamboKivipi mkuu....?
Akikutag nitag....wadau mnitag plsNimechoka kusubiri mkuu,me nipo tofauti ukitupia tu we ni tag au ni text kabisa 0713522447
Siku ukiamua kutoa kitabu, Mimi nitakuwa wakwanza kukinunua, Lazima tusupportiane,Nashukuru kiongozi..
yaani unaqoute thread yote kwa sentensi mbili?Jaman wewe endelea, tangu jana ujue wenzio tupo pending. Tuhadithie basiii
mnachosha sana kuqoute thread nzima.Siku nyingine haijafika mkuu....
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Ni usiku wa manane Muda ambao Hua ninautumia kutafakari mambo kadhaa muhimu ktk shughuli zangu, na Leo Kama kawaida nilihitaji kutafakari kwa kina kuhusu Kijana Wangu ambae amekua mlevi wa kupindikia... Nina chukua simu yangu ili kujikumbusha kitu Fulani kutoka ktk Notes zangu kwenye simu hii, ndipo ninapo kumbana na kisa hiki. Ajabu Ni kua nlipanga kutafakari kwa DK 10 lkn hadi sasa ninaendelea kurudia kisa hiki Tena na Tena kwa masaa 2!
Asante sana mwandishi