D.B. Cooper: Tukio halisi la kusisimua lililogeuka hadithi ya 'Alfu lela ulela'

D.B. Cooper: Tukio halisi la kusisimua lililogeuka hadithi ya 'Alfu lela ulela'

[emoji16] [emoji16] [emoji16] hivi njie wapuuzi lini mtaelewa, una quote uzi mzima kwa haya maneno mawili[emoji53] [emoji53] [emoji53] una akilj za namna gani???
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
duh we jamaa! Hivi hujiulizi kabisa unapo-quote thread nzima ni kitu gani kinawapata wasomaji wengine?

duh we jamaa! Hivi hujiulizi kabisa unapo-quote thread nzima ni kitu gani kinawapata wasomaji wengine?
 
Thanks mkuu The Bold, umenifanya nipate free lunch week nzima huku ofisini, muda wa lunch nakusanya member wangu wa ofisini nawapa hii story wao kazi yao kulipia lunch na nilivoigroup hii story taimaliza kuwaadithia ijumaa, mzuka walio nao sio kidogo, jana kuna demu kidogo nikalale nae ili tu nimuadithie hii story hadi mwisho, nikatia ngumu coz hana yale mambo yetu.
 
No any proof mkuu, kumbuka huyo jamaa ni genius anawaza kuanzia pale uwezo wa FBI unapoishia, huenda ni mtu yuko huko FBI. Kumbuka alikua anawaza kila jambo ambalo FBI wangelichunguza na kutumia kama njia ya kumkamata.
Hapo nimeassume alipoiteka ndege alikua na miaka 30-40 1971 sasa hivi 2016 atakua kikongwe sana au marehem kabisa
 
Mi nadhani katika hii show kuna FBI walihusika that's why yule jamaa wa parachute wakamuua kama tetesi zilivyokuwa. Na since FBI walihusishwa tangu mwanzo lazima kuna mambo waliyaweka sawa. It was a lot of money during that time so haiwezekani just one guy akafanya yote hayo.
 
kumbuka huyo jamaa ni genius anawaza kuanzia pale uwezo wa FBI unapoishia, huenda ni mtu yuko huko FBI. Kumbuka alikua anawaza kila jambo ambalo FBI wangelichunguza na kutumia kama njia ya kumkamata.
Sioni u genius wake uko wapi kwa kweli.

Katika ma parachute aliyopewa alichagua parachute moja zima moja ni toy la kujifunzia, akaacha mazima mawili, kwa hiyo alikuwa hana reserve parachute. Hapo kuna u-genius gani?

Wataalam wanajiuliza utajaribuje ku sky dive bila reserve parachute kwenye upepo wa 200mph blasting in your face, mvua kali, kiza kinene, umevaa suti na viatu vya ngozi vya kishua, windchill ama baridi inayokolezwa na upepo siku ile ilikuwa minus 69F, umefunga bank bag mgongoni... ?

Kwa nini achukue chances kama hizo mtu genius?
 
Sioni u genius wake uko wapi kwa kweli.

Katika ma parachute aliyopewa alichagua parachute moja zima moja ni toy la kujifunzia, akaacha mazima mawili, kwa hiyo alikuwa hana reserve parachute. Hapo kuna u-genius gani?

Wataalam wanajiuliza utajaribuje ku sky dive bila reserve parachute kwenye upepo wa 200mph blasting in your face, mvua kali, kiza kinene, umevaa suti na viatu vya ngozi vya kishua, windchill ama baridi inayokolezwa na upepo siku ile ilikuwa minus 69F, umefunga bank bag mgongoni... ?

Kwa nini achukue chances kama hizo mtu genius?
Mm ndio maana nasema jamaa hakuruka na ndege mara ya pili...
Alishuka na mateka baada ya kupewa mshiko wake.....then marubani ndio wakamaliza mchezo wote......tena hata ile choice ya kujifanya alitumia parachute za kujifunzia. Waliifanya maksudi ili fbi wajue jamaa lazima atakua amekufa
 
Mm ndio maana nasema jamaa hakuruka na ndege mara ya pili...
Alishuka na mateka baada ya kupewa mshiko wake.....then marubani ndio wakamaliza mchezo wote......tena hata ile choice ya kujifanya alitumia parachute za kujifunzia. Waliifanya maksudi ili fbi wajue jamaa lazima atakua amekufa
nakuelewa, which means ilikuwa ni mchoro wa watu wote wale waliobaki kwenye ndege (ma pilot, engineer, flight attendant) na Cooper aliyeshuka airport Washington Takoma.

Tatizo na hiyo theory at least to me ni kwamba ina watu wengi mno. Dola laki 2 alizopewa gawanya kwa watu watano ni $40,000. Ambayo kwa hela ya leo ni kama $ 230,000 kila mmoja.

Hicho kiasi hakijazidi sana mshahara wa pilot. Sasa kwa nini ma pilot wahatarishe career yao (na maisha yao pia) kwa kufanya ujambazi mgumu namna hiyo?
 
Husipotupa mwendelezo utakuwa hujatutendea haki mkuu
 
Back
Top Bottom