D.B. Cooper: Tukio halisi la kusisimua lililogeuka hadithi ya 'Alfu lela ulela'

Hapo naona db cooper mwenyewe hakuondoka na ndege bali alishuka na mateka baada ya kupewa mshiko wake...
Then marubani na engineer wa ndege walikula mchongo wakatoa false testimon na wakatengeneza mazingira ili ionekane kuwa db cooper aliruka na parachuti...
Maana isingekua rahisi kwa cooper kuruka na wakati kuna ndege mbili za kijeshi juu na chini alafu asionekane..

Hapo lazima kuna mchezo kati ya marubani na fbi ft cooper the boss.


Mtazamo wangu tu huo
 
Watu wengi sana hawaijui hii kitu ya db cooper hata mm kuna some pieces nilikua namis
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Mkuu tupo wengi ambao huyu jamaa kateka ratiba zetu ghafla
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…