D.B. Cooper: Tukio halisi la kusisimua lililogeuka hadithi ya 'Alfu lela ulela'

D.B. Cooper: Tukio halisi la kusisimua lililogeuka hadithi ya 'Alfu lela ulela'

The bold unasimulia utadhani ulikuwepo.

Yaani km Mkandala Lufufu kwny kutafsiri movies. Chukua mikoba yake jamaa una kipaji.

Niko nawaza km kweli huyu 'kiumbe' D. B. Cooper alikuwa na uwezo na akili gani?

Bora FBI wangetangaza kumsamehe ajitokeze wamuajiri kabsa ili awape mbinu zake. Nawaza tu [emoji23][emoji23]
Hahahah! Nashukuru kwa pongezi mkuu..
 
Funguka zaidi mkuu!
Tutakua tunafundisha ugaidi sasa humu ndani mkuu kinyume na taratibu sababu ishu kama za Mapunduzi,utekaji wa ndege,mauaji n.k vinafundishwaga ila kwa manufaa ya nchi tu ukitumia kwa matakwa yako binafsi au watu fulani au kwa itikadi zingine ndio inakua illegal.

Sio kama najua hayo mambo hapana ila napenda sana kucheki movie.
 
Tutakua tunafundisha ugaidi sasa humu ndani mkuu kinyume na taratibu sababu ishu kama za Mapunduzi,utekaji wa ndege,mauaji n.k vinafundishwaga ila kwa manufaa ya nchi tu ukitumia kwa matakwa yako binafsi au watu fulani au kwa itikadi zingine ndio inakua illegal.

Sio kama najua hayo mambo hapana ila napenda sana kucheki movie.
Nimekuelewa sana mkuu! Lakini unaweza kushare walau kwa uchache tu pasipo kuingia kwa undani sana.. Nadhani itakuwa safe
 
Emmadogo umeniwahi, hii issue FBI wanahusika na Jenna huyo Cooper ni mmoja wao. Na inawezekana hata hizo pesa wanazodai zilipotea wanadanganya, zilishatumika kitambo.

Asante sana The bold kwa Makala hii nzuri.
YEAH HII KITU WALIIPIGA WAO SO ILIKUWA RAHISI KWA WAO KUIZIMA KINAMNA BILA WENGINE KUJUA....BUT THAT PARACHUTE GUY KNEW SOMETHING SO THEY HAD TO TAKE HIM OUT. SO THAT D COOPER WAS NEVER THERE , HE WAS AN IMAGINARY GUY TO MAKE THE STORY LOOK REAL.....SO PALE KWENYE KUJAZA MAFUTA KILA KITU KILIMALIZIKA PALE.
 
Swadakta! Sahihi kabisa mkuu.. Kwa maoni yangu nimebaini kuwa wahalifu wengi waliofanikiwa kwa kiwango cha juu; kwanza waliplan kwa muda mrefu na walijaribu kufikiri kwa namna ambayo watakaokuja kuwatafuta watakuwa wanafikiri kisha wakaongzea akili na mbinu zao.. Walikuwa wanafikiri miaka miwili au mitano mbele na waliweka mikakati mbadala A, B, C!!

Mtu mwenye uwezo wa kung'amua kitu utakacho waza kabla wewe mwenyewe haujakiwaza au kujua mbinu utakayotumia kabla mwenyewe haujaipanga ni ngumu mno kumkamata kwani mara zote atakuwa mbele kimawazo na kimkakati! Wewe ukifikia kuwaza 2 mwenzko amekwisha waza 3 na 4! Naamini D.B Cooper alikuwa ni mtu wa kaliba hii.
Mbona humalizii story nzuri
 
YEAH HII KITU WALIIPIGA WAO SO ILIKUWA RAHISI KWA WAO KUIZIMA KINAMNA BILA WENGINE KUJUA....BUT THAT PARACHUTE GUY KNEW SOMETHING SO THEY HAD TO TAKE HIM OUT. SO THAT D COOPER WAS NEVER THERE , HE WAS AN IMAGINARY GUY TO MAKE THE STORY LOOK REAL.....SO PALE KWENYE KUJAZA MAFUTA KILA KITU KILIMALIZIKA PALE.
Rudia kuisoma huenda utaelewa.
 
FBI wameshindwa kumpata Cooper kwa miaka takribani 40 na kitu, sisi wabongo tutawezaje? Tutabaki kuhisi tu labda hivi au labda vile ila jamaa ndio ashatengeneza historia kwa miaka mingi ijayo jina lake litaishi.

Kesi imefungwa rasmi, mkuu The bold tafuta mkasa mwingine wa kusisimua pia usisahau kunitag.
 
Back
Top Bottom