Bin Chuma75
JF-Expert Member
- Dec 15, 2012
- 995
- 1,067
Yap
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Elezea kidogo mkuuJamaa kawazidi akili pale aliporuhusu ndege iruke huku imetoa matairi kama inataka kutua haya mambo ni akili ndogo tu mbona.
Hahahah! Nashukuru kwa pongezi mkuu..The bold unasimulia utadhani ulikuwepo.
Yaani km Mkandala Lufufu kwny kutafsiri movies. Chukua mikoba yake jamaa una kipaji.
Niko nawaza km kweli huyu 'kiumbe' D. B. Cooper alikuwa na uwezo na akili gani?
Bora FBI wangetangaza kumsamehe ajitokeze wamuajiri kabsa ili awape mbinu zake. Nawaza tu [emoji23][emoji23]
Funguka zaidi mkuu!Jamaa kawazidi akili pale aliporuhusu ndege iruke huku imetoa matairi kama inataka kutua haya mambo ni akili ndogo tu mbona.
Tutakua tunafundisha ugaidi sasa humu ndani mkuu kinyume na taratibu sababu ishu kama za Mapunduzi,utekaji wa ndege,mauaji n.k vinafundishwaga ila kwa manufaa ya nchi tu ukitumia kwa matakwa yako binafsi au watu fulani au kwa itikadi zingine ndio inakua illegal.Funguka zaidi mkuu!
Nimekuelewa sana mkuu! Lakini unaweza kushare walau kwa uchache tu pasipo kuingia kwa undani sana.. Nadhani itakuwa safeTutakua tunafundisha ugaidi sasa humu ndani mkuu kinyume na taratibu sababu ishu kama za Mapunduzi,utekaji wa ndege,mauaji n.k vinafundishwaga ila kwa manufaa ya nchi tu ukitumia kwa matakwa yako binafsi au watu fulani au kwa itikadi zingine ndio inakua illegal.
Sio kama najua hayo mambo hapana ila napenda sana kucheki movie.
YEAH HII KITU WALIIPIGA WAO SO ILIKUWA RAHISI KWA WAO KUIZIMA KINAMNA BILA WENGINE KUJUA....BUT THAT PARACHUTE GUY KNEW SOMETHING SO THEY HAD TO TAKE HIM OUT. SO THAT D COOPER WAS NEVER THERE , HE WAS AN IMAGINARY GUY TO MAKE THE STORY LOOK REAL.....SO PALE KWENYE KUJAZA MAFUTA KILA KITU KILIMALIZIKA PALE.
Mbona humalizii story nzuriSwadakta! Sahihi kabisa mkuu.. Kwa maoni yangu nimebaini kuwa wahalifu wengi waliofanikiwa kwa kiwango cha juu; kwanza waliplan kwa muda mrefu na walijaribu kufikiri kwa namna ambayo watakaokuja kuwatafuta watakuwa wanafikiri kisha wakaongzea akili na mbinu zao.. Walikuwa wanafikiri miaka miwili au mitano mbele na waliweka mikakati mbadala A, B, C!!
Mtu mwenye uwezo wa kung'amua kitu utakacho waza kabla wewe mwenyewe haujakiwaza au kujua mbinu utakayotumia kabla mwenyewe haujaipanga ni ngumu mno kumkamata kwani mara zote atakuwa mbele kimawazo na kimkakati! Wewe ukifikia kuwaza 2 mwenzko amekwisha waza 3 na 4! Naamini D.B Cooper alikuwa ni mtu wa kaliba hii.
Nimeshamaliza yote tayari mkuu..Mbona humalizii story nzuri
Ntaipataje?Nimeshamaliza yote tayari mkuu..
Cheki post #1Ntaipataje?
Asante sana, nimemaliza kuisoma mungu amekujalia kipaji, andaa nyingine uleteCheki post #1
Rudia kuisoma huenda utaelewa.YEAH HII KITU WALIIPIGA WAO SO ILIKUWA RAHISI KWA WAO KUIZIMA KINAMNA BILA WENGINE KUJUA....BUT THAT PARACHUTE GUY KNEW SOMETHING SO THEY HAD TO TAKE HIM OUT. SO THAT D COOPER WAS NEVER THERE , HE WAS AN IMAGINARY GUY TO MAKE THE STORY LOOK REAL.....SO PALE KWENYE KUJAZA MAFUTA KILA KITU KILIMALIZIKA PALE.
Mkuu kama utakuwa unaifaham ile ya wabrazil walivyoiba benki kuu yao basi share hapa maana naona uandishi wako uko juu sana. Ni documentary niliyoona Discovery ikanisisimuaCheki post #1