sinza pazuri
JF-Expert Member
- Aug 16, 2014
- 3,344
- 9,066
Moja ya vitu vya thamani alivyopewa na CEO wa WCB Wasafi Diamond Platnumz ni cheni na pete vyenye thamani ya million 150.
Mbali na hayo pia amepewa nyumba nzuri ya kuishi Mbezi Beach ni mara tu alipoangusha wino mwanzo mwa huu mwaka 2023.