D Voice apewa cheni na pete za million 150

D Voice apewa cheni na pete za million 150

Wizi mtupu. Hiyo hela ni bora angemnunulia kiwanja na kumjengea nyumba nzuri, badala ya hayo matakataka.

Au isije ikawa hayo macheni ndiyo vitambulisho vyao kwenye ulimwengu wa giza!! Maana naona na Mbosso naye hapo pembeni ameyajaza ya kutosha tu shingoni, kama ilivyo kwa bosi wao.
Kwako wewe ni matakakata ila mwenye biashara yake anajua yana umuhimu gani kwenye business yake. Diamond hajawai kutupa pesa.
 
Hiyo ni biashara kama ya duka au kilimo au nyingine yoyote huwezi kurekebisha mkataba sababu business partner kalalamika unarekebisha kama mkataba una kasoro. By the way mkataba upo sawa ndio maana wanaotoka hawaendi mahakaman na wanalipa fidia ya kuvunja mkataba tena pesa nyingi.
Nikikwambia budget ya d voice mpaka sasa unaweza shangaa kwa nini investor asiweke kwenye real estate tu ni mamilion mamia
Basi sawa.

Nimekuelewa ingawa haujanielewa
 
Hii umeiskia kijiwe cha kahawa au cha draft?
Kwa sababu wewe unakaa vijiwe vya kahawa hata kama hutumi kahawa sio Kila mtu Yuko hivyo.

Ninyi ndio wale mnasapoti vitu hamjui hata vinashikiliwa na nguvu Gani...

Umezaliwa Sinza umekuta Kila kitu unaishi Kwa mishen town Sasa unahisi Kila kitu kimekaa kimishen town...

Acha kushakibikia vitu kama huvijui vizuri. Unaweza ukajiingiza kuangamiza kizazi chako kirahisi bila KUJUA...
 
Hiyo cheni haifiki hiyo bei, hizo zinatengenezwa tu mnapigwa changa la macho.

Nyie watu vichwa makopo kabisa, habari mkiona mnameza nzima nzima tu.
Huyo ni Chawa wa Usafini. Anapewa cheni ya 150M na kupangishiwa nyumba? Hiyo 150M si bora wamjengee nyumba? Cheni itamsaidia nini na umri wake bado mdogo? Chai hii.
 
Wizi mtupu. Hiyo hela ni bora angemnunulia kiwanja na kumjengea nyumba nzuri, badala ya hayo matakataka.

Au isije ikawa hayo macheni ndiyo vitambulisho vyao kwenye ulimwengu wa giza!! Maana naona na Mbosso naye hapo pembeni ameyajaza ya kutosha tu shingoni, kama ilivyo kwa bosi wao.
Hizo ni mojawapo ya vitendea kazi kwenye shughuli yao ya muziki. Mashabiki hupenda kuwaona wasanii wao katika mwonekano ghali. Wizi upo CHADEMA kununua pagale kwa bilioni 1.6 huko ndani ndani Mikocheni kusikofikika.
 
Kwa sababu wewe unakaa vijiwe vya kahawa hata kama hutumi kahawa sio Kila mtu Yuko hivyo.

Ninyi ndio wale mnasapoti vitu hamjui hata vinashikiliwa na nguvu Gani...

Umezaliwa Sinza umekuta Kila kitu unaishi Kwa mishen town Sasa unahisi Kila kitu kimekaa kimishen town...

Acha kushakibikia vitu kama huvijui vizuri. Unaweza ukajiingiza kuangamiza kizazi chako kirahisi bila KUJUA...
Umezaliwa kwenye uchawi basi kila kitu unakiona kwenye angle ya uchawi
 
Umezaliwa kwenye uchawi basi kila kitu unakiona kwenye angle ya uchawi
Kwanza kabisa nitake radhi kusema nimezaliwa kwenye uchawi...

Wewe umezaliwa kwenye familia ya kishetani huoni una tatizo?

Leo WEMA, Hamisa, kesho Zari, keshokutwa Tanasha, Mtondo Zuchu alafu unasema wewe binadamu?

Alafu umeachana na huyu ukaona kapata mume wivu unaanza ukaribu!

Skiza, toa kwanza ujinga kichwani mwako...

Tunajenga taifa la namna Gani?
Tumeaminisha watu kuwa mziki na siasa bila hayo hakuna kuishi...

Apewa cheni na Pete za million 150?
Pete na cheni? Za Nini?

Alafu trust me hunisogelei Kwa CHOCHOTE Iwe pesa, umaarufu ama CHOCHOTE Kwa hivyo huyu anayekujibu hapa ameshuhudia makubwa zaidi Yako, ameyaona mengi.
 
Kwanza kabisa nitake radhi kusema nimezaliwa kwenye uchawi...

Wewe umezaliwa kwenye familia ya kishetani huoni una tatizo?

Leo WEMA, Hamisa, kesho Zari, keshokutwa Tanasha, Mtondo Zuchu alafu unasema wewe binadamu?

Alafu umeachana na huyu ukaona kapata mume wivu unaanza ukaribu!

Skiza, toa kwanza ujinga kichwani mwako...

Tunajenga taifa la namna Gani?
Tumeaminisha watu kuwa mziki na siasa bila hayo hakuna kuishi...

Apewa cheni na Pete za million 150?
Pete na cheni? Za Nini?

Alafu trust me hunisogelei Kwa CHOCHOTE Iwe pesa, umaarufu ama CHOCHOTE Kwa hivyo huyu anayekujibu hapa ameshuhudia makubwa zaidi Yako, ameyaona mengi.
Tatizo hawa wanataka kila mtu akate
Mauno

Ova
 
Kwanza kabisa nitake radhi kusema nimezaliwa kwenye uchawi...

Wewe umezaliwa kwenye familia ya kishetani huoni una tatizo?

Leo WEMA, Hamisa, kesho Zari, keshokutwa Tanasha, Mtondo Zuchu alafu unasema wewe binadamu?

Alafu umeachana na huyu ukaona kapata mume wivu unaanza ukaribu!

Skiza, toa kwanza ujinga kichwani mwako...

Tunajenga taifa la namna Gani?
Tumeaminisha watu kuwa mziki na siasa bila hayo hakuna kuishi...

Apewa cheni na Pete za million 150?
Pete na cheni? Za Nini?

Alafu trust me hunisogelei Kwa CHOCHOTE Iwe pesa, umaarufu ama CHOCHOTE Kwa hivyo huyu anayekujibu hapa ameshuhudia makubwa zaidi Yako, ameyaona mengi.
Mkuu wewe sio msanii unahaki kuona ovyo wasanii wana aina yao ya Maisha tofauti na wewe wa kawaida
 
Back
Top Bottom