sinza pazuri
JF-Expert Member
- Aug 16, 2014
- 3,344
- 9,066
Kaka kila mtu anakula kwa urefu wa kamba yake waarab wanaita qadarsawa aisee mtu anavaa selfu kontena shingoni mungu yupo tuu.
Tafuta hela mtu kutumia hela alizotafuta anavyotaka sio upuuziSawa Sawa Lakini Upuuzi Ni Mwingi Sana
ndio hivyo ngoja na mie niwe bandidu kabisa ukiwa mpole dunia hii huna chako.Kaka kila mtu anakula kwa urefu wa kamba yake waarab wanaita qadar
Punguza hasira chawa wa bi mkubwa. Hiyo cheni unajuia kwanza quality yake? Tafuta detailsHiyo cheni haifiki hiyo bei, hizo zinatengenezwa tu mnapigwa changa la macho, nyie watu vichwa makopo kabisa, habari mkiona mnameza nzima nzima tu, shithole
Pambana pambana sanandio hivyo ngoja na mie niwe bandidu kabisa ukiwa mpole dunia hii huna chako.
tena zaidi ya kupambana arifu.Pambana pambana sana
Ninaipongeza menejimenti ya WCB kwa kuibua vipaji na kufanya uwekezaji mkubwa kwa vijana hawa.View attachment 2829637
Moja ya vitu vya thamani alivyopewa na CEO wa WCB Wasafi Diamond Platnumz ni cheni na pete vyenye thamani ya million 150.
Mbali na hayo pia amepewa nyumba nzuri ya kuishi Mbezi beach ni mara tu alipoangusha wino mwanzo mwa huu mwaka 2023.
Yupo mikono salama maokoto sio shida zake sasaduuuh, D kawa tajiri ghafla. safi sana
Wizi mtupu. Hiyo hela ni bora angemnunulia kiwanja na kumjengea nyumba nzuri, badala ya hayo matakataka.View attachment 2829637
Moja ya vitu vya thamani alivyopewa na CEO wa WCB Wasafi Diamond Platnumz ni cheni na pete vyenye thamani ya million 150.
Mbali na hayo pia amepewa nyumba nzuri ya kuishi Mbezi beach ni mara tu alipoangusha wino mwanzo mwa huu mwaka 2023.
Hiyo ni biashara kama ya duka au kilimo au nyingine yoyote huwezi kurekebisha mkataba sababu business partner kalalamika unarekebisha kama mkataba una kasoro. By the way mkataba upo sawa ndio maana wanaotoka hawaendi mahakaman na wanalipa fidia ya kuvunja mkataba tena pesa nyingi.Ninaipongeza menejimenti ya WCB kwa kuibua vipaji na kufanya uwekezaji mkubwa kwa vijana hawa.
Nadhani pia WCB wanapaswa kukutana na wanasheria wa masuala ya mikataba na hakimiliki waweze kufanya maboresho ya mikataba yao ili kuondoa malalamiko yanayojitokeza kwa wasanii wanaowasaidia
Story za kwenye vijiwe vya kahawa.Ameshaingia kwenye ufalme wa giza amekabidhiwa zana za kazi hapo akiwa anawaambia misukule wake twende kushoto kulia na wao wanafuatisha, timua vumbi yanatimua, lala chini yanalala
"Ukinisujudia nitakupa haya yote"