sinza pazuri
JF-Expert Member
- Aug 16, 2014
- 3,344
- 9,066
- Thread starter
-
- #21
Kwako wewe ni matakakata ila mwenye biashara yake anajua yana umuhimu gani kwenye business yake. Diamond hajawai kutupa pesa.Wizi mtupu. Hiyo hela ni bora angemnunulia kiwanja na kumjengea nyumba nzuri, badala ya hayo matakataka.
Au isije ikawa hayo macheni ndiyo vitambulisho vyao kwenye ulimwengu wa giza!! Maana naona na Mbosso naye hapo pembeni ameyajaza ya kutosha tu shingoni, kama ilivyo kwa bosi wao.
Hii umeiskia kijiwe cha kahawa au cha draft?Hizo sio chei Wala Pete kama mnavyoziona, hata hereni wanazovaa wasanii sio hereni...
Nguvu zao zote zinatokana na hizo Pete, hereni cheni...
Basi sawa.Hiyo ni biashara kama ya duka au kilimo au nyingine yoyote huwezi kurekebisha mkataba sababu business partner kalalamika unarekebisha kama mkataba una kasoro. By the way mkataba upo sawa ndio maana wanaotoka hawaendi mahakaman na wanalipa fidia ya kuvunja mkataba tena pesa nyingi.
Nikikwambia budget ya d voice mpaka sasa unaweza shangaa kwa nini investor asiweke kwenye real estate tu ni mamilion mamia
Kwa sababu wewe unakaa vijiwe vya kahawa hata kama hutumi kahawa sio Kila mtu Yuko hivyo.Hii umeiskia kijiwe cha kahawa au cha draft?
Huyo ni Chawa wa Usafini. Anapewa cheni ya 150M na kupangishiwa nyumba? Hiyo 150M si bora wamjengee nyumba? Cheni itamsaidia nini na umri wake bado mdogo? Chai hii.Hiyo cheni haifiki hiyo bei, hizo zinatengenezwa tu mnapigwa changa la macho.
Nyie watu vichwa makopo kabisa, habari mkiona mnameza nzima nzima tu.
Hizo ni mojawapo ya vitendea kazi kwenye shughuli yao ya muziki. Mashabiki hupenda kuwaona wasanii wao katika mwonekano ghali. Wizi upo CHADEMA kununua pagale kwa bilioni 1.6 huko ndani ndani Mikocheni kusikofikika.Wizi mtupu. Hiyo hela ni bora angemnunulia kiwanja na kumjengea nyumba nzuri, badala ya hayo matakataka.
Au isije ikawa hayo macheni ndiyo vitambulisho vyao kwenye ulimwengu wa giza!! Maana naona na Mbosso naye hapo pembeni ameyajaza ya kutosha tu shingoni, kama ilivyo kwa bosi wao.
Umezaliwa kwenye uchawi basi kila kitu unakiona kwenye angle ya uchawiKwa sababu wewe unakaa vijiwe vya kahawa hata kama hutumi kahawa sio Kila mtu Yuko hivyo.
Ninyi ndio wale mnasapoti vitu hamjui hata vinashikiliwa na nguvu Gani...
Umezaliwa Sinza umekuta Kila kitu unaishi Kwa mishen town Sasa unahisi Kila kitu kimekaa kimishen town...
Acha kushakibikia vitu kama huvijui vizuri. Unaweza ukajiingiza kuangamiza kizazi chako kirahisi bila KUJUA...
Kwa nini unajiita mtamu?Ujinga kawadanganye wenzako wa facebook huko,sio wenye akili huku jamiiforum.
Kwanza kabisa nitake radhi kusema nimezaliwa kwenye uchawi...Umezaliwa kwenye uchawi basi kila kitu unakiona kwenye angle ya uchawi
Tatizo hawa wanataka kila mtu akateKwanza kabisa nitake radhi kusema nimezaliwa kwenye uchawi...
Wewe umezaliwa kwenye familia ya kishetani huoni una tatizo?
Leo WEMA, Hamisa, kesho Zari, keshokutwa Tanasha, Mtondo Zuchu alafu unasema wewe binadamu?
Alafu umeachana na huyu ukaona kapata mume wivu unaanza ukaribu!
Skiza, toa kwanza ujinga kichwani mwako...
Tunajenga taifa la namna Gani?
Tumeaminisha watu kuwa mziki na siasa bila hayo hakuna kuishi...
Apewa cheni na Pete za million 150?
Pete na cheni? Za Nini?
Alafu trust me hunisogelei Kwa CHOCHOTE Iwe pesa, umaarufu ama CHOCHOTE Kwa hivyo huyu anayekujibu hapa ameshuhudia makubwa zaidi Yako, ameyaona mengi.
Umeua mkuuHizo ni mojawapo ya vitendea kazi kwenye shughuli yao ya muziki. Mashabiki hupenda kuwaona wasanii wao katika mwonekano ghali. Wizi upo CHADEMA kununua pagale kwa bilioni 1.6 huko ndani ndani Mikocheni kusikofikika.
🤣🤣🤣🤣🤣Kwa nini unajiita mtamu?
Mkuu wewe sio msanii unahaki kuona ovyo wasanii wana aina yao ya Maisha tofauti na wewe wa kawaidaKwanza kabisa nitake radhi kusema nimezaliwa kwenye uchawi...
Wewe umezaliwa kwenye familia ya kishetani huoni una tatizo?
Leo WEMA, Hamisa, kesho Zari, keshokutwa Tanasha, Mtondo Zuchu alafu unasema wewe binadamu?
Alafu umeachana na huyu ukaona kapata mume wivu unaanza ukaribu!
Skiza, toa kwanza ujinga kichwani mwako...
Tunajenga taifa la namna Gani?
Tumeaminisha watu kuwa mziki na siasa bila hayo hakuna kuishi...
Apewa cheni na Pete za million 150?
Pete na cheni? Za Nini?
Alafu trust me hunisogelei Kwa CHOCHOTE Iwe pesa, umaarufu ama CHOCHOTE Kwa hivyo huyu anayekujibu hapa ameshuhudia makubwa zaidi Yako, ameyaona mengi.
Milioni 150 unaijua au ndio mambo ya kiongeza Ziro?View attachment 2829637
Moja ya vitu vya thamani alivyopewa na CEO wa WCB Wasafi Diamond Platnumz ni cheni na pete vyenye thamani ya million 150.
Mbali na hayo pia amepewa nyumba nzuri ya kuishi Mbezi Beach ni mara tu alipoangusha wino mwanzo mwa huu mwaka 2023.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Milioni 150 unaijua au ndio mambo ya kiongeza Ziro?
sio ziro, hapo wameongeza sufriMilioni 150 unaijua au ndio mambo ya kiongeza Ziro?
lazima waongeze sufri ili akijitoa wachafu adaiwe milion 600Milioni 150 unaijua au ndio mambo ya kiongeza Ziro?