Da kumbe Wallace Karia ni mtu mkubwa hivi na si mganga njaa!

Da kumbe Wallace Karia ni mtu mkubwa hivi na si mganga njaa!

Umeshaambiwa wao ni wasimamiaji tu na ndio maana kuna mtendaji mkuu wa kazi za kila siku za TFF ambae ameajiriwa hata rais sio anafanya kazi za serikali ndio maana akawepo Waziri Mkuu sasa TFF kuna Katibu Mkuu ambaye ameajiriwa na kazi zake ni za kila siku kwa maana ya mtendaji mkuu wa TFF Rais,Makamu wa Rais na Watendaji wengineo wanaochaguliwa kwa Kanda wao ni wasimamizi tu wa waajiliwa wa TFF lazima tulifahamu hilo hiyo hoja ya umbali wa Morogoro na Dar sio Hoja kabisa
Mbona povu jingi wakat jamaa kauliza swali fupi sana! [emoji4]

Haya jibu swali sasa, toka Mvomero hadi Dar ni saa ngapi?

sent from Sanduku la Posta using JamiiForums mobile app
 
Rais wa TFF Msomali!
Kweli Tanzania ni bure kabisa!
I am entitled to my opinion.
 
Sasa hivi ni mhasibu mkuu mkoa wa Morogoro, hivi mhasibu na MKURUGENZI nani mkubwa
 
Kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya (DED) ni kuwa mtu mkubwa hadi upost hapa JF? Mawazo kama hayo yamelenga kutukuza watu kwa nyadhifa na mali zao, ndiyo maana SSB mnatukuza sana, sitashangaa kusikia kuwa naye sasa ni Mungu anayeabudiwa na kutukuzwa pamoja na Baba na Mwana.
huwa navishangaa vikurugenzi nikivikuta ofisini kwao na vi v8 vya ofisi, aisee vinajitutumua, lakini havikatishi miaka kadhaa navikuta mahakamani vinashitakiwa!
 
Rais wa TFF Msomali!
Kweli Tanzania ni bure kabisa!
I am entitled to my opinion.
Hata Juma Pumba Maharagwe siio mtanzania Yule ni banyamulenge wa misitu ya Huko bukavu!

Pogba wa tz nchi imekushinda!
 
Nimeshanga na habari kuwa huyu bwana ni Mkurugenzi Mtendaji wa Wilaya ya Mvomero. Nawasilisha
Aliwahi kuwa DED Mvomero, baadae akahamishiwa Bukoba..Kisha akahamishiwa Morogoro ambako alikuwa Mhasibu Mwandamizi kwenye Sekretarieri (RS) ya Mkoa wa Morogoro..Mpaka anachaguliwa kuwa Rais wa TFF alikuwa ni Mhasibu wa RS Morogoro..
 
Back
Top Bottom