Daaah, bodaboda bodaboda...inauma sana

Ila boda boda jamani, hadi wanaogopeshaa kwa kwelii.
Sitaki kukumbuka kabisaa, sasa hapo aliwekwaje humo?
[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
 
Tunasikotika kwa sababu abiria wanakuwa ni wahanga wasio na hatia
Kwahiyo walokole hawaumwi, hawapti ajali, hawafi, hawana shida yoyote na ni matajiri.

Acha kila mtu aishi kwa imani yake. Kuna wakristo, waislam, wahindu, nk. Kila mmoja kwa imani yake ataishi.
 
Unaona kuna semi kule mbele? Nadhali alitaka kulipita akiwa na 100km ndio akakutana na Howo
Hilo semi nadhani nahisi linapita tu wala halihusiki na hiyo Ajari ni picha tu ineikamata semi inamalizia
7bu hata ingekuwa hiyo semi asingekuwa na taarifa za kuweza kusimama kwa halaka karibu hivyo na hata angesimama basi lazima angeesimama pembeni kwa mbele kuruhusu magari mengine yapite

Ila scenario ulioleza ni kuna uhakika 90% kuna gari kubwa like semi alikuwa anajaribu kuipita bila kuchukua taadhari kupelkea hata asione vizuri gari inayokuja mbele ama aliiona ikiwa inakuja ila alipiga mahesabu yake ya "KIBODABODA"
 
Ni kweli kabisa. Lakini na sisi abiria tuwe wakali wakati tuko kwenye pikipiki.
Yeah!! lakini unadhan inasaidia sasa? Binafsi nina tabia ya kutia risala fupi kila ninapopanda bodaboda ugenini! Maneno yangu ni simple tu ' boda hii miguu Kuna watu wanitegemea huko nitokako kwa rizki zoote unazozijua' kuwa makini!! Sasa mwezi wa 12 nipo sehemu nikachukua boda, hata dk moja hatukuchua ukafanya uzembe wa kuingia junction bila kuangalia tukavaana na boda mwenzie hadi unafika mtaroni ye kavunjika mkono mi nimevunja smartphone ila nilitoka salama.
Nawahurumia sana kina mama na Dada wanatumia bodaboda wao wanakuwaga speechless hadi impact inatokea
 
Kwahiyo walokole hawaumwi, hawapti ajali, hawafi, hawana shida yoyote na ni matajiri.

Acha kila mtu aishi kwa imani yake. Kuna wakristo, waislam, wahindu, nk. Kila mmoja kwa imani yake ataishi.
Mbona kama hukunielewa
 
Asante mtumishi. Mwenye masikio na asikie 🙏🏿🙏🏿🙏🏿
 
Maafisa Usafirisha wengi ni CHANGAMOTO..ni wakati sasa kwa JESHI la Police kufanya kitu ili kuokoa maisha ya Watanzania
 
Unaweza jiuliza kwenye 'lane' iyo alifata nini ila unaweza kosa majibu ya haraka.
Mhh hii picha ya mchongo ukiangalia vizuri. Kwanza hakuna hata damu wala nyama nyama zimetapakaa, pili hakuna hata mashuhuda pembeni wakishangaa, tatu mtu kanasaje hapo maana analingana na gari unene.
 
.......hili la kuovertake bila tahadhari bado ni shida sana hata Kwa baadhi ya madereva wa mabasi, unaona kabisa dereva anachomoa gari wakati mbele kuna muinuko au Kona kali ambayo huoni kama gari inakuja, unabaki kushangaa......
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…