Daah! Fumanizi la weekend limenitia kiwewe

Daah! Fumanizi la weekend limenitia kiwewe

Mkuu ebu ngoja kwanza ulibeba condom iliyotumika kwa nn ukarudi nayo nyumbani
Acha yakukute mwana kulitafuta mwana kulipata ukomeee
Nikisema nilikumiss nikaingia chooni kujichua, sasa maji hayakuwepo nikaona soo kuziacha zinaelea nikazibeba nitupe nje!.. Halafu ndio michezo yangu nikiwa mbali na wewe!!..

Nakazia hapo hutaamini!.
 
Nikisema nilikumiss nikaingia chooni kujichua, sasa maji hayakuwepo nikaona soo kuziacha zinaelea nikazibeba nitupe nje!.. Halafu ndio michezo yangu nikiwa mbali na wewe!!..

Nakazia hapo hutaamini!.
Ebu uko kujichua huko vipiiiii
 
Unafanya vitu hatari then humakiniki wataki unavifanya..hizo ndomu mbichi ungeziacha huko guest kingetokea nini kwani??

Kweli ukitaka kumjua mbaya wako ngoja uombe ushauri. Ulitaka aziache huko guest ili free mason wachukue mbegu zake wakamtoe kafara?? Mwenzako mjanja sana. Kaenda nazo akaziweke pamoja na za huko nyumbani kwake wazee wazilinde
 
Mkuu hili tukio lako la kibabe Sana natamani lingenitokea mimi, ila kwakua wewe unaliona ni janga wacha nikupe pole tu
 
Back
Top Bottom