Mtumishi wa Bwana89
JF-Expert Member
- Jul 23, 2018
- 3,191
- 4,220
Umefanya kosa kubwa sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aisee sio kwa sababu hiyo ha haaMkuu kiuhalisia jamaa kapatikana. Lkn sometimes inabidi utoe tu sababu yoyote na ubabe kidogo ili kulimaliza tu swala. Sasa unadhani ukikubali hapo kifatacho nini!?
Kazi kweli kwelJana jumamosi baada ya kutoka zangu shamba na kujirudisha home Kuna kamchepuko flan hv nimekawinda muda kidogo Jana kakajaa kwenye 18.
Nikajiandaa fresh, nikaaga home naenda kwenye kikao Cha harusi, kwakua kulikua na kabaridi flan nkapiga koti la suti na suruali ya jeans chini, nikazama guest nimekacall kakaja, nimepiga show nimemaliza, Kama kawaida hua siamini Sana manzi za nje kiimani ikabd ndox nizifunge kwenye gazeti niziweke kwenye mfuko wa koti ili nikifika nje nizitupe! Tumemaliza fresh, tumeagana nikatoka nje, ckua na usafiri so nikataka kuchukua boda, Sasa ile nimefika nje tuu nkakutana na mwanangu mmoja Yuko na usafr, Ni jirani, kaniuliza wapi mkuu? Nkamwambia naenda home, bila kukumbuka Nina ndox mfukoni nikajitupa garini haooo, mpk home, akanishusha, nimevua koti nkalitundika nikaenda kutulia seblen, Sasa wife hua ana kawaida nguo yoyote nikiivaa hua anasach halafu anaiweka kwa kapu la nguo chafu. Sina ili Wala Lile naona mtu anakuja seblen kafume hatari kabeba ndox mbichi, anauliza hizi Nini? Nkashikwa na kigugumizi. Hapa navokwambia kaondoka home Yuko kwa mama ake najishauri cjui ntaenda jielezaje!!
Hii ni chai tuJana jumamosi baada ya kutoka zangu shamba na kujirudisha home Kuna kamchepuko flan hv nimekawinda muda kidogo Jana kakajaa kwenye 18.
Nikajiandaa fresh, nikaaga home naenda kwenye kikao Cha harusi, kwakua kulikua na kabaridi flan nkapiga koti la suti na suruali ya jeans chini, nikazama guest nimekacall kakaja, nimepiga show nimemaliza, Kama kawaida hua siamini Sana manzi za nje kiimani ikabd ndox nizifunge kwenye gazeti niziweke kwenye mfuko wa koti ili nikifika nje nizitupe! Tumemaliza fresh, tumeagana nikatoka nje, ckua na usafiri so nikataka kuchukua boda, Sasa ile nimefika nje tuu nkakutana na mwanangu mmoja Yuko na usafr, Ni jirani, kaniuliza wapi mkuu? Nkamwambia naenda home, bila kukumbuka Nina ndox mfukoni nikajitupa garini haooo, mpk home, akanishusha, nimevua koti nkalitundika nikaenda kutulia seblen, Sasa wife hua ana kawaida nguo yoyote nikiivaa hua anasach halafu anaiweka kwa kapu la nguo chafu. Sina ili Wala Lile naona mtu anakuja seblen kafume hatari kabeba ndox mbichi, anauliza hizi Nini? Nkashikwa na kigugumizi. Hapa navokwambia kaondoka home Yuko kwa mama ake najishauri cjui ntaenda jielezaje!!
Asee ulikosea sana... pale alipokuonyesha tu kabla hajasema neno ungemkomalia akwambie ukweli kazitoa wapi na kazitumia na nani..!! Ila pole sana bro, kila dhambi inamalipo yake inabidi uwe mpole tu usubiri uruma ya wifeJana jumamosi baada ya kutoka zangu shamba na kujirudisha home Kuna kamchepuko flan hv nimekawinda muda kidogo Jana kakajaa kwenye 18.
Nikajiandaa fresh, nikaaga home naenda kwenye kikao Cha harusi, kwakua kulikua na kabaridi flan nkapiga koti la suti na suruali ya jeans chini, nikazama guest nimekacall kakaja, nimepiga show nimemaliza, Kama kawaida hua siamini Sana manzi za nje kiimani ikabd ndox nizifunge kwenye gazeti niziweke kwenye mfuko wa koti ili nikifika nje nizitupe! Tumemaliza fresh, tumeagana nikatoka nje, ckua na usafiri so nikataka kuchukua boda, Sasa ile nimefika nje tuu nkakutana na mwanangu mmoja Yuko na usafr, Ni jirani, kaniuliza wapi mkuu? Nkamwambia naenda home, bila kukumbuka Nina ndox mfukoni nikajitupa garini haooo, mpk home, akanishusha, nimevua koti nkalitundika nikaenda kutulia seblen, Sasa wife hua ana kawaida nguo yoyote nikiivaa hua anasach halafu anaiweka kwa kapu la nguo chafu. Sina ili Wala Lile naona mtu anakuja seblen kafume hatari kabeba ndox mbichi, anauliza hizi Nini? Nkashikwa na kigugumizi. Hapa navokwambia kaondoka home Yuko kwa mama ake najishauri cjui ntaenda jielezaje!!
Yani jamaa kushangaa ikaonekana kosa kalibeba tayariii[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Hapo unamgeuzia kibaooo yanii haamini japo atamind lakino fresh...Asee ulikosea sana... pale alipokuonyesha tu kabla hajasema neno ungemkomalia akwambie ukweli kazitoa wapi na kazitumia na nani..!! Ila pole sana bro, kila dhambi inamalipo yake inabidi uwe mpole tu usubiri uruma ya wife
Sent using Jamii Forums mobile app
Aiseee ndomu sio za kutunza....[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] UtaumbukaaJamaa umefanya kosa kubwa sana la kiufundi aisee , hustahili kubaki kwenye chama cha mabaharia.
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji28][emoji23][emoji23][emoji23]Uzuri ukweli unajulikana na watu wa2 tu..the best actor always win.Yani jamaa kushangaa ikaonekana kosa kalibeba tayariii[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Hapo unamgeuzia kibaooo yanii haamini japo atamind lakino fresh...
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji28][emoji23][emoji23][emoji23]Uzuri ukweli unajulikana na watu wa2 tu..the best actor always win.
Sent using Jamii Forums mobile app