Daah! Fumanizi la weekend limenitia kiwewe

Daah! Fumanizi la weekend limenitia kiwewe

Jana jumamosi baada ya kutoka zangu shamba na kujirudisha home Kuna kamchepuko flan hv nimekawinda muda kidogo Jana kakajaa kwenye 18.
Nikajiandaa fresh, nikaaga home naenda kwenye kikao Cha harusi, kwakua kulikua na kabaridi flan nkapiga koti la suti na suruali ya jeans chini, nikazama guest nimekacall kakaja, nimepiga show nimemaliza, Kama kawaida hua siamini Sana manzi za nje kiimani ikabd ndox nizifunge kwenye gazeti niziweke kwenye mfuko wa koti ili nikifika nje nizitupe! Tumemaliza fresh, tumeagana nikatoka nje, ckua na usafiri so nikataka kuchukua boda, Sasa ile nimefika nje tuu nkakutana na mwanangu mmoja Yuko na usafr, Ni jirani, kaniuliza wapi mkuu? Nkamwambia naenda home, bila kukumbuka Nina ndox mfukoni nikajitupa garini haooo, mpk home, akanishusha, nimevua koti nkalitundika nikaenda kutulia seblen, Sasa wife hua ana kawaida nguo yoyote nikiivaa hua anasach halafu anaiweka kwa kapu la nguo chafu. Sina ili Wala Lile naona mtu anakuja seblen kafume hatari kabeba ndox mbichi, anauliza hizi Nini? Nkashikwa na kigugumizi. Hapa navokwambia kaondoka home Yuko kwa mama ake najishauri cjui ntaenda jielezaje!!

Ni bora angalau unajishauri mwenyewe wangekuwa vijana wa kileo wangeuliza sijui nifanyeje.

BTW kataa tu sio wewe kuna mtu kakuwekea bila wewe kujua na haujui lengo lake nini?

Sikiliza haka kawimbo ka Shaggy kakupe mwanga
 
Dah!!...Hiyo tabia ya kubeba ndomu nilizotumia nikiwa Guest ninayo.

Ila kujisahau kuzitupa siwezi na haiwezi kutokea kwa kweli.

Umefanya kitu kimbaya sana mkuu.

Pole Sana

"Enough of No Love"
 
Jana jumamosi baada ya kutoka zangu shamba na kujirudisha home Kuna kamchepuko flan hv nimekawinda muda kidogo Jana kakajaa kwenye 18.
Nikajiandaa fresh, nikaaga home naenda kwenye kikao Cha harusi, kwakua kulikua na kabaridi flan nkapiga koti la suti na suruali ya jeans chini, nikazama guest nimekacall kakaja, nimepiga show nimemaliza, Kama kawaida hua siamini Sana manzi za nje kiimani ikabd ndox nizifunge kwenye gazeti niziweke kwenye mfuko wa koti ili nikifika nje nizitupe! Tumemaliza fresh, tumeagana nikatoka nje, ckua na usafiri so nikataka kuchukua boda, Sasa ile nimefika nje tuu nkakutana na mwanangu mmoja Yuko na usafr, Ni jirani, kaniuliza wapi mkuu? Nkamwambia naenda home, bila kukumbuka Nina ndox mfukoni nikajitupa garini haooo, mpk home, akanishusha, nimevua koti nkalitundika nikaenda kutulia seblen, Sasa wife hua ana kawaida nguo yoyote nikiivaa hua anasach halafu anaiweka kwa kapu la nguo chafu. Sina ili Wala Lile naona mtu anakuja seblen kafume hatari kabeba ndox mbichi, anauliza hizi Nini? Nkashikwa na kigugumizi. Hapa navokwambia kaondoka home Yuko kwa mama ake najishauri cjui ntaenda jielezaje!!
sema ulipitiwa na shetani mkuu!
 
Kamwambie ulipokuwa kikaoni jamaa yako aliazima koti
Ha haaa hlf kwanini mnakuaga na sababu za kitoto hivyo. Yaani Kuna mtu namfahamu anaweza toa hiyo sababu Tena macho makavuuu
 
  • Thanks
Reactions: Pep
Ha haaa hlf kwanini mnakuaga na sababu za kitoto hivyo. Yaani Kuna mtu namfahamu anaweza toa hiyo sababu Tena macho makavuuu
Mkuu kiuhalisia jamaa kapatikana. Lkn sometimes inabidi utoe tu sababu yoyote na ubabe kidogo ili kulimaliza tu swala. Sasa unadhani ukikubali hapo kifatacho nini!?
 
Back
Top Bottom