Mare man
Senior Member
- Dec 31, 2012
- 197
- 215
- Thread starter
- #41
Unaendeleaje na msala
Sent using Jamii Forums mobile app
Niko bar Kwanza najiliwaza! Sina namna!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaendeleaje na msala
Sent using Jamii Forums mobile app
Jana jumamosi baada ya kutoka zangu shamba na kujirudisha home Kuna kamchepuko flan hv nimekawinda muda kidogo Jana kakajaa kwenye 18.
Nikajiandaa fresh, nikaaga home naenda kwenye kikao Cha harusi, kwakua kulikua na kabaridi flan nkapiga koti la suti na suruali ya jeans chini, nikazama guest nimekacall kakaja, nimepiga show nimemaliza, Kama kawaida hua siamini Sana manzi za nje kiimani ikabd ndox nizifunge kwenye gazeti niziweke kwenye mfuko wa koti ili nikifika nje nizitupe! Tumemaliza fresh, tumeagana nikatoka nje, ckua na usafiri so nikataka kuchukua boda, Sasa ile nimefika nje tuu nkakutana na mwanangu mmoja Yuko na usafr, Ni jirani, kaniuliza wapi mkuu? Nkamwambia naenda home, bila kukumbuka Nina ndox mfukoni nikajitupa garini haooo, mpk home, akanishusha, nimevua koti nkalitundika nikaenda kutulia seblen, Sasa wife hua ana kawaida nguo yoyote nikiivaa hua anasach halafu anaiweka kwa kapu la nguo chafu. Sina ili Wala Lile naona mtu anakuja seblen kafume hatari kabeba ndox mbichi, anauliza hizi Nini? Nkashikwa na kigugumizi. Hapa navokwambia kaondoka home Yuko kwa mama ake najishauri cjui ntaenda jielezaje!!
Wewe siyo mchepukaji
profeshenali,wachupukaji huwa wana maakili mingi Jombaaaa hawaingii kwenye nyavu kizembe namna hiyo!
Sent using Jamii Forums mobile app
Mpigie uliyepiga nae showNiko bar Kwanza najiliwaza! Sina namna!!!
Siku hizi tunasema ndoa hazidumu, zinavunjika zikiwa changa,,, kumbe mchawi wa ndoa zetu ni sisi wenyewe!Bado mkuu ndoa changa KABISA! Hata watoto hatuna
Bado mkuu ndoa changa KABISA! Hata watoto hatuna
Nimesema nlikua naogopa kamati!! Hujaelewa?Naona chai tu, ww guest kuna drum la uchafu kwann usiweke, huhisi kinyaa kutembea na vitu vichafu, wenzio wanafumwa na ambazo hazija tumika
Sent using Jamii Forums mobile app
sema ulipitiwa na shetani mkuu!Jana jumamosi baada ya kutoka zangu shamba na kujirudisha home Kuna kamchepuko flan hv nimekawinda muda kidogo Jana kakajaa kwenye 18.
Nikajiandaa fresh, nikaaga home naenda kwenye kikao Cha harusi, kwakua kulikua na kabaridi flan nkapiga koti la suti na suruali ya jeans chini, nikazama guest nimekacall kakaja, nimepiga show nimemaliza, Kama kawaida hua siamini Sana manzi za nje kiimani ikabd ndox nizifunge kwenye gazeti niziweke kwenye mfuko wa koti ili nikifika nje nizitupe! Tumemaliza fresh, tumeagana nikatoka nje, ckua na usafiri so nikataka kuchukua boda, Sasa ile nimefika nje tuu nkakutana na mwanangu mmoja Yuko na usafr, Ni jirani, kaniuliza wapi mkuu? Nkamwambia naenda home, bila kukumbuka Nina ndox mfukoni nikajitupa garini haooo, mpk home, akanishusha, nimevua koti nkalitundika nikaenda kutulia seblen, Sasa wife hua ana kawaida nguo yoyote nikiivaa hua anasach halafu anaiweka kwa kapu la nguo chafu. Sina ili Wala Lile naona mtu anakuja seblen kafume hatari kabeba ndox mbichi, anauliza hizi Nini? Nkashikwa na kigugumizi. Hapa navokwambia kaondoka home Yuko kwa mama ake najishauri cjui ntaenda jielezaje!!
Ha haaa hlf kwanini mnakuaga na sababu za kitoto hivyo. Yaani Kuna mtu namfahamu anaweza toa hiyo sababu Tena macho makavuuuKamwambie ulipokuwa kikaoni jamaa yako aliazima koti
Mkuu kiuhalisia jamaa kapatikana. Lkn sometimes inabidi utoe tu sababu yoyote na ubabe kidogo ili kulimaliza tu swala. Sasa unadhani ukikubali hapo kifatacho nini!?Ha haaa hlf kwanini mnakuaga na sababu za kitoto hivyo. Yaani Kuna mtu namfahamu anaweza toa hiyo sababu Tena macho makavuuu