Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kimara kuna vibaka sana nimeishi kimara mwisho ni hatari sana aiseeMimi n mwenyeji labda sio mtembezi nimeamia kimara nikiwa darasa la tatu mpaka sasa mtu mzima.
Majitaka zimegeuka nyumba au,maan cjakuelewaWakuu nashukuru Mungu nimefika Dar taangu juzi lakini Sifa tunazozisikaga ni Tofauti kabisa Leo nimeweza kukatiza mitaa ya Karikoo Nimeshangazwa na Majitaka/Mavi yalivyozagaa mitaani Jana nilitembea Baadhi ya Mitaa inasikitisha.
View attachment 493878View attachment 493879
Mkuu, kuna uzuri gani mbezi ya kimara? Maeneo yapi hasa unaweza kusema ni pazuri?Yah jaribu kutembelea ukipata nafasi
Very true, namba tatu ndio imeshika kasi. Wengi ni wapangaji tena wa single bedroom(jiko, sebule, store) kila kitu humo humo.Hata vidole havifanani mkuu ,Dar kuna matabaka matatu 1.Matajiri sana 2. Watu wa kawaida (standard level of living) 3. Watu mafukara aka walala hoi wanaosindikiza mji,asilimia kubwa ya hili kundi ni wazawa
Hawajambo kwenu Koromije.?Wakuu nashukuru Mungu nimefika Dar taangu juzi lakini Sifa tunazozisikaga ni Tofauti kabisa Leo nimeweza kukatiza mitaa ya Karikoo Nimeshangazwa na Majitaka/Mavi yalivyozagaa mitaani Jana nilitembea Baadhi ya Mitaa inasikitisha.
View attachment 493878View attachment 493879
Atakuwa katoka Koromije.[emoji12]Umetokea wapi kwani?!
Mwambie maana akikutana na wafiraji sijui kama atapona tena kama ana "msambwanda" kama wa yule mshikaji"[emoji39]Mijitu ya chato bana utaliwa kiboga mjini hapa