N'yadikwa
JF-Expert Member
- Aug 10, 2014
- 7,427
- 10,905
ujipasuliage mbao za paina mwanawaneDuh!!!kumbe ndio kuko hivyo ngoja niendelee kubaki hukuhuku kijijini Ifwagi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ujipasuliage mbao za paina mwanawaneDuh!!!kumbe ndio kuko hivyo ngoja niendelee kubaki hukuhuku kijijini Ifwagi.
Wengi husubiri itokee misiba ya ndugu zao ndo wanakuja kwa lifti ya gari la ng'ombe na wakifika huku ndo jumla wanajifanya wanajua sana na huanza kusumbua wenyeji.Wakafanye nini sasa ikiwa hakuna sababu yoyote ya kuwapeleka Dsm?
Uko ng'wanza ipi mkuu..?Subiri mvua inyeshe kwa wingi then uangalie nyodo zao na makazi yao kama yanalingana ukiachilia mbali kukanyanga vinyesi vya maji machafu Dar. Hakika huwa najivunia sana home Mwanza aka Ng'wanza
Kumbe Koromije bado sana.!Kwao hawana TV huyu.
Hahahaaaaaa, Ng'wanza ya madaso Bongwe. Teh teh teh teh tehUko ng'wanza ipi mkuu..?
Maana kuna Ng'wanza ya madaso
Na Ng'wanza yenyewe.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125]Utatekwa! we zurula ovyo tu utakoma
huyu mzinguaji ni mkenya kuna thread ya battle baina ya dar na nairobi ivyo kuna uswazi za nairobi ni mbayaa kupindukia inaitwa kibera basi dizain anataka kucompare uswazi yao ya kenya ambayo ni mabanda na tope na uswazi ya bongo ambayo watu wanaishi kwenye nyumba za tofari na mabati..angekuwa kafika kwel angeonyesha picha zaidi ya alichokutana nacho....muongoWewe ulisikia sifa zipi?! Mbona ITV kila mara wanaonesha hizo 'chambers' zinazotema kinyesi!! Mbona kila mara mafuriko yanaonekana!! Hebu eleza vzr 😱😀
nyie msipate tabu nakuja na picha za uswahilini mwa nairobi na mlinganishe na dar ...utachoka ....Dar kubwa kijana. Kuna sehemu ukipita utaona bora kolomije maana pombe zinapikwa vibaya kama kawe na kigogo walai hizo sehemu sijui kwa nn nako kunaitwa dar.
Ila jaribu kwenda posta, masaki, osterbay, mikocheni, upanga, nk ili walau uamini kuwa umeingia dar ila we umeenda sokoni ukatarajia kuona tofauti na kolomije hapana
Jamani!!!!!!Utatekwa! we zurula ovyo tu utakoma