Crocodiletooth JF-Expert Member Joined Oct 28, 2012 Posts 20,561 Reaction score 24,428 Apr 21, 2024 #1
ngara23 JF-Expert Member Joined Aug 31, 2019 Posts 9,091 Reaction score 21,087 Apr 21, 2024 #2 Ni kati ya derby bora Africa
VOICE OF MTWARA JF-Expert Member Joined Dec 20, 2012 Posts 2,987 Reaction score 1,954 Apr 21, 2024 #3 Hivi hawa huwa wanatokea wapi? Na ni kweli huwa wana mapenzi na hizo timu au unafiki tu?
Mawembasa1979 JF-Expert Member Joined Feb 26, 2015 Posts 2,540 Reaction score 3,333 Apr 21, 2024 #4 Crocodiletooth said: View attachment 2970434View attachment 2970436View attachment 2970439 Click to expand... Hii picha ya mwisho dah, jamaa anaonekana ni mwanachama upinde!
Crocodiletooth said: View attachment 2970434View attachment 2970436View attachment 2970439 Click to expand... Hii picha ya mwisho dah, jamaa anaonekana ni mwanachama upinde!
U uwe hodari JF-Expert Member Joined Dec 16, 2022 Posts 4,045 Reaction score 8,608 Apr 22, 2024 #5 VOICE OF MTWARA said: Hivi hawa huwa wanatokea wapi? Na ni kweli huwa wana mapenzi na hizo timu au unafiki tu? Click to expand... Hawa ni watalii km unavyojua watalii vijana hawana mambo mengi na muda mwingi wapo free Wanapenda sehem zenye mikusanyiko ya burudani Wanaweza kuwa hawajui chochote kuhusu simba na yanga
VOICE OF MTWARA said: Hivi hawa huwa wanatokea wapi? Na ni kweli huwa wana mapenzi na hizo timu au unafiki tu? Click to expand... Hawa ni watalii km unavyojua watalii vijana hawana mambo mengi na muda mwingi wapo free Wanapenda sehem zenye mikusanyiko ya burudani Wanaweza kuwa hawajui chochote kuhusu simba na yanga
Zouzoutz JF-Expert Member Joined Feb 26, 2024 Posts 1,883 Reaction score 2,732 Apr 22, 2024 #6 Crocodiletooth said: View attachment 2970434View attachment 2970436View attachment 2970439 Click to expand... Naona naona Aahaaaa
Crocodiletooth said: View attachment 2970434View attachment 2970436View attachment 2970439 Click to expand... Naona naona Aahaaaa
uhurumoja JF-Expert Member Joined Mar 2, 2014 Posts 9,616 Reaction score 22,521 Apr 22, 2024 #7 uwe hodari said: Hawa ni watalii km unavyojua watalii vijana hawana mambo mengi na muda mwingi wapo free Wanapenda sehem zenye mikusanyiko ya burudani Wanaweza kuwa hawajui chochote kuhusu simba na yanga Click to expand... Umemjibu vema kabisa na huwa wale tour guide wanawaongoza kwenye major events zinazotokea ili kuwapa burudani
uwe hodari said: Hawa ni watalii km unavyojua watalii vijana hawana mambo mengi na muda mwingi wapo free Wanapenda sehem zenye mikusanyiko ya burudani Wanaweza kuwa hawajui chochote kuhusu simba na yanga Click to expand... Umemjibu vema kabisa na huwa wale tour guide wanawaongoza kwenye major events zinazotokea ili kuwapa burudani