Mpwayungu Village
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 14,540
- 30,875
- Thread starter
- #141
Hujielewi weweSiwatetei lakini unyanyasaji wa watu wa kada za chini upo kila sehemu, wadada wa kazi wanaonewa katika nyumba nyingi sio za Wahindi peke yake. Kama tunashindwa kuwaheshimu wafanyakazi wa bar... tofauti yetu ni ni na hao wahindi?