Dada angu anafanya kazi kwa wahindi, ananyanyaswa na kushikwa sehemu za siri

Dada angu anafanya kazi kwa wahindi, ananyanyaswa na kushikwa sehemu za siri

Akili huna unawaza uzinzi tu, hata avatar yako inaonyesha
Kama ww ulivyotaka kumla mtoto wa madam kule Lindi.
Any way Mpwayungu tumalizie ile "chai" yako aisee nilitaka nikupe binti yangu bikra lakini nimeghairi husomeki nakuona chenga tu.
 
Ahahahahhahh kidagaaa umerudi na Uzi mwingineee

Kweli ndio maana kidagaa alikuambia imeisha hyoio
 
Kwa uzi huu,kwa kusoma heading tu,huoni km na wewe unamdhalilisha dada yako??. Kulikuwa na sababu gani hadi kusema kabisa kuwa anashikwa sehemu za siri??.Ungesema tu kuwa anadhalilishwa ingetosha Mkuu,Watu wazima tunakuwa tayari tumeshaelewa.
Yupo sahihi inafaa tupate picha halisi kabisa. Unaposema anamshika sehemu za siri unazibainisha **** ni maziwa na uke.
 
Kama jamii flan inatabia za kifedhuli ziwekwe bayana.

Hii jamii ya bara la asia wako na itikadi za kifedhuli kiasi ambacho kimevuka mipaka ya kiutu. Dada yetu kule uarabuni alionekana analishwa mavii. Dada yetu mwingne kulekule uarabuni alikufa ka kile kilichosemekana alisukumwa(mwaka juzi au mwaka jana)

Hawa jamaa wa hapo kwenye viungo vingi nao wanaubaguzi ulopita mipaka wale wenzao weusi wanawaona n kama maviii tu. Hapo kwa Bashiru wanawaona watoto wa mzee wa kofia kama si watu. Wakikuwa wanawaua kama watakavyo. Wanataka kuwanyang'anya yale mafuta yote ni kutokana na ilo roho iko ndani yao.

Tuishi kama binadamu tuache chuki na tupendane sote. Wazee wa viungo acheni kuona ngoz nyeusi kama mbwa. One day magorofa yatakuwa magumu kupanda
 
Wewe kama wewe unechukua hatua gani au uneishia kuangalia dada Ana dhalilishwa na wewe unaona .... kuhusu udhalilishaji hkuna asiye jua hilo ... ungekuja na suluhisho huu uziwako ungekuwa na uzito zaidi
 
Karidhika! Kazi Kwa waswahili wenzao wanalalamika hazina maslahi! Maslahi wanayoyataka ndiyo hayo!
Mimi nimeshaona wasichana wa kazi, wanaonyanyaswa ndiyo hudumu kazini miaka mingi. Wasichana wa kazi wanaotunzwa kudekezwa na kubembelezwa na mabosi huwa hawakai hata miezi 2!

Wanapenda kuamshwa saa 10 alfajiri na kulala saa 6 usiku! Alishwe mabaki na matusi na kudhalilishwa!
 
Pengine tatizo linaanzia kwa dada yako ambaye Ni mpishi Kuna haja gani ya kupika chakula kingi Cha kubakiza lundo na kuweka kwny frigi?huenda aliambiwa kipimo Cha kupika yy anashindwa kukifuata ndio maana kikibaki anaambiwa aweke kwenye frigi kesho yake amalizie mwenyewe,la pili kushikwa sehemu za Siri pengine yy ndio kawafundisha na kuwaendekeza hao watoto usingekuwepo kna maana wangeshikana.Lkn pia ww Ni mtoto wa kiume wataamini vipi km ww mna undugu na huyo dada yako asilimia kubwa maboss wengi hawapendi wadada wa kazi kukaribisha vijana wa kiume majumbani wahusika wakiwa hawapo ukiendekeza kwenda Kuna siku watakudhuru jihadhari
 
According to me... we had achieve independence the situation of being independently but steal we have no freedom in our country... steal we have a dream that freedom will coming tomorrow
 
Kama jamii flan inatabia za kifedhuli ziwekwe bayana.

Hii jamii ya bara la asia wako na itikadi za kifedhuli kiasi ambacho kimevuka mipaka ya kiutu. Dada yetu kule uarabuni alionekana analishwa mavii. Dada yetu mwingne kulekule uarabuni alikufa ka kile kilichosemekana alisukumwa(mwaka juzi au mwaka jana)

Hawa jamaa wa hapo kwenye viungo vingi nao wanaubaguzi ulopita mipaka wale wenzao weusi wanawaona n kama maviii tu. Hapo kwa Bashiru wanawaona watoto wa mzee wa kofia kama si watu. Wakikuwa wanawaua kama watakavyo. Wanataka kuwanyang'anya yale mafuta yote ni kutokana na ilo roho iko ndani yao.

Tuishi kama binadamu tuache chuki na tupendane sote. Wazee wa viungo acheni kuona ngoz nyeusi kama mbwa. One day magorofa yatakuwa magumu kupanda
Sure kaka chukua Pepsi baridi kwa mangi
 
Pengine tatizo linaanzia kwa dada yako ambaye Ni mpishi Kuna haja gani ya kupika chakula kingi Cha kubakiza lundo na kuweka kwny frigi?huenda aliambiwa kipimo Cha kupika yy anashindwa kukifuata ndio maana kikibaki anaambiwa aweke kwenye frigi kesho yake amalizie mwenyewe,la pili kushikwa sehemu za Siri pengine yy ndio kawafundisha na kuwaendekeza hao watoto usingekuwepo kna maana wangeshikana.Lkn pia ww Ni mtoto wa kiume wataamini vipi km ww mna undugu na huyo dada yako asilimia kubwa maboss wengi hawapendi wadada wa kazi kukaribisha vijana wa kiume majumbani wahusika wakiwa hawapo ukiendekeza kwenda Kuna siku watakudhuru jihadhari
Mm ni kaka ake wa damu kule kwa wahindi sio sero hata nisiache kufika.
 
Hii taarifa mbona kama ngumu hivi.

Kwamba umeenda kumsalimia Dada yako kwa Muajiri wake?...mbona rahisi ingekuwa ni yeye kutoka kuja kukusalimia wewe unapoishi?.

Kwa hiyo hao Watoto walimshika mbele yenu nyie mliokuwa hapo sebuleni?.
 
Back
Top Bottom