Pengine tatizo linaanzia kwa dada yako ambaye Ni mpishi Kuna haja gani ya kupika chakula kingi Cha kubakiza lundo na kuweka kwny frigi?huenda aliambiwa kipimo Cha kupika yy anashindwa kukifuata ndio maana kikibaki anaambiwa aweke kwenye frigi kesho yake amalizie mwenyewe,la pili kushikwa sehemu za Siri pengine yy ndio kawafundisha na kuwaendekeza hao watoto usingekuwepo kna maana wangeshikana.Lkn pia ww Ni mtoto wa kiume wataamini vipi km ww mna undugu na huyo dada yako asilimia kubwa maboss wengi hawapendi wadada wa kazi kukaribisha vijana wa kiume majumbani wahusika wakiwa hawapo ukiendekeza kwenda Kuna siku watakudhuru jihadhari