Kalunya
JF-Expert Member
- Oct 5, 2021
- 13,322
- 18,609
Malizia then unaozea jela.Hao wanaodhalilishwa hawajitambui,mimi unufanyie mambi ya ajabu huku mimi ndo nawalea hapo,ntawalisha sumu mpka akili ziwakae sawa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Malizia then unaozea jela.Hao wanaodhalilishwa hawajitambui,mimi unufanyie mambi ya ajabu huku mimi ndo nawalea hapo,ntawalisha sumu mpka akili ziwakae sawa.
Wote ni wabaguzi periodTafiti zako umefanya kwa wahindi na waarabu wote kwamba wananyanyasa watu? Kama ni wote sawa. Lakini kumbuka kuna wengine wapo peponi huko mwaka wa kumi wanaishi kwa amani na upendo, wamepata familia zinazoijua dini. Na maendeleo home wanafanya na likizo wanapewa.
Unyanyasi ni tabia binafsi na sio ya jumla. Ukiona una nyanyasika umeridhia, si utafute boss mwingine?
Pambav zakoSamahani kwa kutokusalimia. Nipo katika tafakuri nzito yenye sonono ndani ya moyo wangu, binafsi nikionaga mwafrika ananyanyasika ndani ya nchi yake moyo wangu huwa unalipuka na kukosa amani kabisa. Kama mna kumbukumbu kuna siku niliwahi kutoa thread kulaani na kulalamika kwa nilichokikuta nilipoenda kumtembelea Dada angu na kukuta wanamnyanyasa na kumpa kipolo cha wali wa kwenye friji wao wanakula cha siku hiyo kikiwa cha moto na mpishi ni dada angu ila kula chakula kilichopikwa siku hiyo hatakiwi, sio taratibu ni sheria.
Sasa Jana nilienda kumuona tena upanga, nilichokikuta sikuamini macho yangu mpaka nilipovua miwani ndipo nikajua haikuwa illusion Bali ni ukweli wa macho ya nyama. Nikifika saa saba mchana akanipokea nikakaa sebleni, nilipofika nilimkuta yeye na wakaka flani ni wahindi lakini cha ajabu niliposalimia hawakupokea wao wakawa busy kuangalia movie kwenye laptop, nikajua hawajaskia nikasalimia tena kwa sauti nikaona wamenitazama ila ni mmoja tu akapokea salamu kwa tabu sana tena sauti ya chini ila kwa kuwa sio jambo geni Kwangu sikujali.
Ajabu nilichokiona Kuna watoto walitoka shuleni kuingia tu nikaona mmoja kaenda kwa Dada bila kunisalimia akaanza kumshika matiti mwingine wa pili akijalibu kumkatia kiuno huku akiguniza ashiii ashiii ashiiit, nikajisemea huu upuuzi siwezi kuuvumilia, nikawaambia kuweni na adabu lakini cha ajabu mmoja akaenda kumsukuma kichwa Dada angu akisema tumiminie Chai hujui tumetoka shule tuna njaa?. Wale waliokuwa wanaangalia movie wakaingia ndani huku wakilalama kwa lugha zao wakuonesha kukwazika kwa uwepo wangu.
Dakika tano baadae akaingia mama mwenye nyumba kwa mjibu wa Dada angu alivoniambia, alipoingia nilisalimia lakini hakupokea ila akamwambia Dada angu tutoke ndani twende nje anataka apumzike sebleni. Nilijiskia huzuni kuona hawasamini wageni wa mfanyakazi na wanatutreat kama wanyama ilihali wao ni wahindi na sisi ni watanzania wazawa wenye nchi yetu.
USHAURI : Dada zangu napiga magoti kuwaomba msije kwenda nchi yoyote ya kiarabu au kwa wahindi kule utaishi kama mnyama, please kama ni kazi tafuta ndani ya Africa our motherland. Africa ni nzuri yenye uadilifu mkubwa na upendo ni Bara lenye bahari, maziwa, mito, mabwawa, milima, mabonde, mazao ya kutosha, ardhi yenye rutba na mifugo ya kila aina, Madini ya kutosha, our Africa is blessed jamani kwa wahindi mnatafuta nini jamani [emoji22]. View attachment 2237822
UpiAcha ujinga[emoji35]
Kucheza PrutableUlienda kazini kwa dada yako kufanya nini?
Washenzi sanaHao wahindi wenyewe wanawabagua wahindi weusi yaani uko India wahindi weusi wanaonekana takataka tu kwa wahindi wenzao
Wacha uzushi wewe hata hapa Tz tu kuna wafanyakazi kibao hamuwalipi mishahara na munawanyanyasa sana tu huko majumbani mwenu. Tena wengine mpaka munawachoma na pasi za moto.USHAURI : Dada zangu napiga magoti kuwaomba msije kwenda nchi yoyote ya kiarabu au kwa wahindi kule utaishi kama mnyama, please kama ni kazi tafuta ndani ya Africa our motherland. Africa ni nzuri yenye uadilifu mkubwa na upendo ni Bara lenye bahari, maziwa, mito, mabwawa, milima, mabonde, mazao ya kutosha, ardhi yenye rutba na mifugo ya kila aina, Madini ya kutosha, our Africa is blessed jamani...
Kwan sisi sio wabaguziWote ni wabaguzi period
Hata ngozi nyeusi wananyanyasa sana tu, sema labda ajiajiri mwenyewe kwa kupika japo chapati.Kwanini wakafanye kazi Kwa wahindi au waarabu? Hayo mengine yakujitakia tu. Mimi ngozi nyeusi tu
Yani acha tuNipike mimi niambiwe nile kiporo? Nashibia jikoni kabla hakijaiva. Masikini, wahindi hawajui umuhimu wa mpishi, siku akiwafanyizia mtatamani ardhi ipasuke.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nipike mimi niambiwe nile kiporo? Nashibia jikoni kabla hakijaiva. Masikini, wahindi hawajui umuhimu wa mpishi, siku akiwafanyizia mtatamani ardhi ipasuke.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo kauli utakuwa unawapa wahindi au NaniWalipaswa kile kiporo cha jana wakichanganye na cha leo kisha kipikwe kwa pamoja kiliwe.
Ikimpendeza nitafanya kwani ni vibaya ndugu zangu?Kwahiyo utamshawishi uguse sehemu zake kwa ridhaa sindio?
Akili huna unawaza uzinzi tu, hata avatar yako inaonyeshaIkimpendeza nitafanya kwani ni vibaya ndugu zangu?
Hiyo kauli utakuwa unawapa wahindi au Nani