kipara kipya
JF-Expert Member
- May 2, 2016
- 18,833
- 23,276
Haya mambo ya kuiga maisha ya kizungu na kupenda vitu ambavyo huna uwezo navyo yanatufikisha pabaya. Usiku wa kuamkia leo, kizaazaa kimezuka katikati ya jiji ndani ya eneo la guest.
Dada mmoja alijikuta akikimbia nje mbio akiwa na chupi mkononi baada ya kushindwa kuhimili ukubwa wa pongoo la njemba aliyekuwa naye.
Akiwa hana jinsi, dada alikimbilia kwa walinzi wa jengo jirani ili kuomba msaada. Walinzi walifanikiwa kumrudisha ndani ya guest na kumsaidia kuchukua nguo zake.
Akisimulia kwa ufupi sana, dada alisema njemba iling’ang’ania kuzima taa, na hapo ndipo alipoanza kuhisi kama anasokomezwa joka la sawaka. Alipata wakati mgumu kupumua, huku uwezo wa kuendelea na "mchezo" ukitoweka kabisa kutokana na ukubwa wa pongoo la njemba.
Mwisho wa simulizi yake, dada huyo aliomba msaada wa usafiri ili kurejea kwao Mbezi Jogoo, ambako alisema anaishi na dada yake.
Wakati hayo yakitokea, njemba iliteleza kama kambare, ikachukua boda boda na kutokomea kusikojulikana.
Kwa kuheshimu utu wa dada huyo, sikupiga picha. Lakini dada zetu, usikubali kutoka na mtu
Dada mmoja alijikuta akikimbia nje mbio akiwa na chupi mkononi baada ya kushindwa kuhimili ukubwa wa pongoo la njemba aliyekuwa naye.
Akiwa hana jinsi, dada alikimbilia kwa walinzi wa jengo jirani ili kuomba msaada. Walinzi walifanikiwa kumrudisha ndani ya guest na kumsaidia kuchukua nguo zake.
Akisimulia kwa ufupi sana, dada alisema njemba iling’ang’ania kuzima taa, na hapo ndipo alipoanza kuhisi kama anasokomezwa joka la sawaka. Alipata wakati mgumu kupumua, huku uwezo wa kuendelea na "mchezo" ukitoweka kabisa kutokana na ukubwa wa pongoo la njemba.
Mwisho wa simulizi yake, dada huyo aliomba msaada wa usafiri ili kurejea kwao Mbezi Jogoo, ambako alisema anaishi na dada yake.
Wakati hayo yakitokea, njemba iliteleza kama kambare, ikachukua boda boda na kutokomea kusikojulikana.
Kwa kuheshimu utu wa dada huyo, sikupiga picha. Lakini dada zetu, usikubali kutoka na mtu