skfull
JF-Expert Member
- Dec 24, 2013
- 2,944
- 2,383
Hahahaa kweli ngoja tuone maana hawataki kutuuliza Baba zao tumewapataje Mama zao kazi kuonea wivu baba akilala na Mama ndiyo anakuja kusumbua hukuItakua kaiba simu ya mama yake, kwa mtongozo ule hana hata sifa ya kumiliki smatfoni