Dada emyta moyo wangu umekutunuku

Dada emyta moyo wangu umekutunuku

Nianze kwa kukushukuru mdogo wangu kwa kunipenda mana sifa ulizozimwaga sio za nchi hii.

Ila nikwambie tu ukweli nishawahiwa tayari mdogo wangu. Pia nikupe sifa mana mpaka umejitolea kunianzishia uzi inaonekana umeogopa kufa na tai shingoni.

Barikiwa sana mdogo wangu na ninakuombea kwa M'Mungu nawe uje kufanikiwa kumpata mwenye sifa kama za emmy mana kwa 80% ya ulichokiwaza kichwani mwako ndio emmy wa ukweli yupo hivyo.

[emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120]
Ukweli huishi,ata Mimi huwa nakuelewa sana kwa pointing zaka silizo simama
 
Hahaha aisee...avatar tu imekupagawisha.

Wanawake wazuri wazuri wameolewa,wamebaki..............
 
Mh! [emoji106][emoji1419][emoji1419][emoji1419][emoji1419][emoji1419][emoji1419][emoji1433][emoji1433][emoji1433][emoji1433]


Nianze kwa kukushukuru mdogo wangu kwa kunipenda mana sifa ulizozimwaga sio za nchi hii.

Ila nikwambie tu ukweli nishawahiwa tayari mdogo wangu. Pia nikupe sifa mana mpaka umejitolea kunianzishia uzi inaonekana umeogopa kufa na tai shingoni.

Barikiwa sana mdogo wangu na ninakuombea kwa M'Mungu nawe uje kufanikiwa kumpata mwenye sifa kama za emmy mana kwa 80% ya ulichokiwaza kichwani mwako ndio emmy wa ukweli yupo hivyo.

[emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120]
 
Hahah iweke mkuu
ngoja nimkaushie tu maana hii tabia ya kufunguka hadharani imekuwa kama fasheni...
Miaka michache iliyopita kulikuwa na uzi wa "Mtongozano kiutu uzima" watu wakafungukiana humu, kwa wote waliokuwepo kipindi kile wakiona hizo nyinzi za sasa inakuwa ni kama zilipendwa tu.
Ila ndio hivyo uhuru wa kujieleza,
 
ngoja nimkaushie tu maana hii tabia ya kufunguka hadharani imekuwa kama fasheni...
Miaka michache iliyopita kulikuwa na uzi wa "Mtongozano kiutu uzima" watu wakafungukiana humu, kwa wote waliokuwepo kipindi kile wakiona hizo nyinzi za sasa inakuwa ni kama zilipendwa tu.
Ila ndio hivyo uhuru wa kujieleza,
Kweli aisee mkuu
 
Nianze kwa kukushukuru mdogo wangu kwa kunipenda mana sifa ulizozimwaga sio za nchi hii.

Ila nikwambie tu ukweli nishawahiwa tayari mdogo wangu. Pia nikupe sifa mana mpaka umejitolea kunianzishia uzi inaonekana umeogopa kufa na tai shingoni.

Barikiwa sana mdogo wangu na ninakuombea kwa M'Mungu nawe uje kufanikiwa kumpata mwenye sifa kama za emmy mana kwa 80% ya ulichokiwaza kichwani mwako ndio emmy wa ukweli yupo hivyo.

[emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120]
Hichi kibuti ni cha mbavuni mixer kwny bandama... Cjui kam kapona aliyetunuku!
 
Back
Top Bottom