Mtende
JF-Expert Member
- Sep 27, 2010
- 6,385
- 7,332
kaka zangu na dada zangu wana jf nawakaribisha mje mniimbie kwenye harusi yangu huuu wimbo
dada huyooo anaolewa
dada huyoooo anaolewa
mahariiii ishatolewaaaa
mahariiii ishatolewaaaa
kwa watakao kuja please confirm ili niwaandalie kadi pamoja na notten za wimbo lol
nyani ngabu atakua anaimba solo, rosweeter atakua anaongoza msafara wa waimbaji, babu ngosha atakua anapiga kinanda na preta atatoa wosia kwa niaba ya mmu
tafadhali pendekeza jina la mtu wa kupiga gitaa, kucheza ngoma,kamati ya chakula, vinywaji nk
haya uwanja ni wenu
dada huyooo anaolewa
dada huyoooo anaolewa
mahariiii ishatolewaaaa
mahariiii ishatolewaaaa
kwa watakao kuja please confirm ili niwaandalie kadi pamoja na notten za wimbo lol
nyani ngabu atakua anaimba solo, rosweeter atakua anaongoza msafara wa waimbaji, babu ngosha atakua anapiga kinanda na preta atatoa wosia kwa niaba ya mmu
tafadhali pendekeza jina la mtu wa kupiga gitaa, kucheza ngoma,kamati ya chakula, vinywaji nk
haya uwanja ni wenu