Dada kama huwezi kutengeneza kipato hata cha sh. 500 kwa siku hufai kuwa mshauri, mpenzi, mchumba au mke wa mwanaume yoyote

anaweza asiwe na uwezo wa kujiingizia kipato cha sh. 500 per day ila akawa na uwepo wa kupiga mizinga na kujipatia kipato cha sh. 50000 per day
 
Ila sometimes inaboa sana. Mwanamke anaomba mpaka hela ya pedi aisee. Mpaka hamu ya kuwa nae inaisha kabisa. Punguzeni/acheni kuomba vitu vidogovudogo vinawashushia sana thamani yenu
 
Zita andikwa ngonjera kwenye thread hii, yetu macho
 
Shiki Shikilia hapo hapo.
 
Kuna ka freedom flani hivi in a woman kanakuwepo with self-money from self hustle.
 
Ngoja ni mtag yule member anayejiita nyoka mweupe aisome hii
 
Mkuu unakipaj cha kuandika na ushawish,nilikuwa upande ule ila nmekuelewa sana,nmerudi huku
 
Kuomba nauli sio sababu ya kwamba hawezi kutafuta hela au kwamba hana hela ni hulka yao kuomba na kutegemea. Yaani mwanamke ni parasite ya mwanaume. Hii dunia bila mwanaume haipo! Waulize walioa wake watafutaji hela yao ni yao na ya mwanaume ndio pesa ya familia. Alafu mbaya zaidi mwanamke anajifanya kukushauri kuhusu hela yako wakati yake haijulikani inakoelekea. All in all hii dunia ni ya sisi wanaume kwa hiyo ni wajibu wetu kuiendeleza ikiwemo hiyo ya kutegemewa hao parasites wetu wanawake!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…