Dada, kama unataka kuolewa zama hizi kaa kijanja

Dada, kama unataka kuolewa zama hizi kaa kijanja

MFALME WETU

JF-Expert Member
Joined
Feb 1, 2021
Posts
4,071
Reaction score
10,028
Mambo vipi apo nyuma ya keyboard, ugonile.!!

Kiukweli zama zimebadilika sana

ni ajabu sana wanawake sikuiz ndo wanaitisha mechi kwa kisingizio kuwa mnatest kama yaliyomo yamo kwa wachumba zenu ili mpate headlines za kuwasimulia shoga zenu.

sasa leo nawaibia siri ukitaka mchumba wako awe siriaz na suala la kukuoa mnyime tendo mwambie mpaka ndoa. Hii ni kwa wale namba E na D zilizochangamka

Kwa wale namba A mpaka C hama mtaa ikibidi mkoa [nenda sehemu ambayo hawakujui kabisa] kisha badili lifestyle yako, kama ulikua mtu wa pombe sana na kujiachia acha, vaa kwa adabu mwanamke kujisitiri, anza kwenda kanisani/msikitini na kwenye matukio kama sherehe za harusi and the like sio kwenye shughuli.

Asikwambie mtu hakuna mwanamke bila mume and vice versa. Mtu yeyote anaekwambia kuwa ndoa sio muhimu na haina maana mfutilie mbali kabisa ikiwezekana mtupie majini ata 7 yamshikishe adabu.

Mwisho kabisa kuwa submissive kwa mchumba wako/utaempata

Ni hayo tu
 
Mwanamke mwenye uhalali wa kumwambia mwanaume wasiingiliane hadi Ndoa ni bikra pekee yake. Sababu huyo hata akikusubirisha miaka 5 unajua wewe ndie unakwenda kuanza nae na ametunza mwili kwaajiri yako.

Waliobakia kuanzia wenye ambao walikutana na mwanaume m'moja tu , wenye X kadhaa, masingle mothers, hao wote kuolewa tena kwa mahari ni umesaidiwa sana na siku ya mahari na posa upige magoti yote mawili kumshukuru sana ambaye kajitoa kukuoa kawaacha bikra kaja kwako kukuvua aibu na fedheha ambayo ungetembea nayo maisha yako yote na kuifanya familia yako kuonekana ni haijui malezi ya binti yao.

Mwanamke ambaye hana bikra akikwambia hataki kufanya chochote na wewe hadi ndoa mwambie awe sasa anakulipa wewe kumsubiria yaani awe anakununulia vocha, anakutoa out, anakununulia zawadi, etc halafu akwambie ni muda gani anaweza kuendelea kukaa akifanya huo upumbavu wa kukusubirisha akikwambia haiwezekani muulize kwahiyo ulitaka mimi ndio nikae kama kilaza nagharamikia upumbavu wako? Si ndio?
 
mwanamke anaolewa tu akijua kuwepo sehemu sahihi kwa wakati sahihi

value ya kitu chochote inabadilika kutokana na mazingira, mwanamke akiwa mazingira ambayo yamejaa wanaume vimeo lazima value yake itashuka tu , ila mwanamke huyo huyo akiwa mazingira yenye wanaume wanaojielewa value yake itapanda pia na ataolewa fasta tu.

Mfano kwetu msasani soda ya cocacola inanunuliwa kwa shilingi 600 mitaa ya uswahilini ila soda hiyi hiyo ya cocacola inanunuliwa kwa shilingi 5000 mitaa ya uzunguni hatua chache tu mbele.
 
Mwanamke mwenye uhalali wa kumwambia mwanaume wasiingiliane hadi Ndoa ni bikra pekee yake. Sababu huyo hata akikusubirisha miaka 5 unajua wewe ndie unakwenda kuanza nae na ametunza mwili kwaajiri yako...
As long as mwanaume anakupenda na ana malengo nawewe there's no way akasitisha mpango wa kuoa kisa mwanamke hana bikra. hio hoja ina nguvu kwa kuwa wanaume tuna access na sex muda wote sababu wanawake wameshindwa kujisitiri wanagawa tu ovyoovyo bila formula.

Sisi wanaume tuna tabia ya kukinai uchi mmoja haraka na kutamani mwingine kwa sababu ndo tumeumbwa ivo. So ili tuoe ni lazima tutengenezewe mazingira ya "kiu" na "uchu"
 
poleni sana,, wanawake ni wengi ila wanaofaa kua wake ni wachache sana kushinda ata wanaume kwasasa😄,,ongezeni nyuzi za mafunzo labda tutakaa kwenye line.

Wewe una point..mwanaume ukiwa umenyooka mke wa kuoa aliyenyooka ngumu sana kumpata zama hizi.

Wamejaa wanawake wajinga waliofaulu mitihani ya shuleni. Unakuta mwanamke ni daktari ila hataki condom sababu inapunguza utamu
 
poleni sana,, wanawake ni wengi ila wanaofaa kua wake ni wachache sana kushinda ata wanaume kwasasa😄,,ongezeni nyuzi za mafunzo labda tutakaa kwenye line.
hili halina ubishi
option zimekuwa nyingi kukwepa ndoa
 
hili halina ubishi
option zimekuwa nyingi kukwepa ndoa
sanaaa,,mara ooh sitaki kuzaa mapema,akija kua tayar kuzaa umri umeenda,,mara nimalize kwanza masomo akimaliza umri umeenda au anataka mwanaume alomzid elimu amsumbue..... apo bado hajasimuliwa magumu anayopata shoga ake kwenye ndoa uuuuweeeeh 😄😄🙌🏾
 
Unajua mkuu umeongea vizuri Sana .

Ila Good man are rare

Wanaume wanojitambua na kujua thamani ya mwanamke ni wachache mno .

Sasa chngamoto inayokuja kutokea ni. Mazingira mwanamke anaweza kujitunza Sana Ila akakosa the Good man na kwa pressure Umri anaamua kuzaa na muhuni ambaye hajitambui.

Nchi yetu Ina uhaba mkubwa wa watu wanaojitambua

So umetoa ushauri mzuri Ila ushauri Sana but I wish one day tuwe na wanaume wengi wanaojitambua na wanaoweza kumuhudumia na kumjali mwanamke na kumjenga kiakili na kihisia.
 
Raha ya mashangazi bana 😁😁😁😁
I
Oky raha ya mashangazi ni kuwa .......... .... 🚬🚬🚬 Nimeachana nayo
 
Binafsi ninatafuta mke wa kuoa more than 2 years tangu niamue hili ila bado sijamuona. Nakutana na wanawake wanakatisha tamaa kwa kweli.

Kupata mke anaejielewa ni kazi ngumu kwa mwanaume kuliko kutafuta pesa
Et eeeh 😁😁😁🚬
 
Binafsi ninatafuta mke wa kuoa more than 2 years tangu niamue hili ila bado sijamuona. Nakutana na wanawake wanakatisha tamaa kwa kweli.

Kupata mke anaejielewa ni kazi ngumu kwa mwanaume kuliko kutafuta pesa
Kama Wewe upo hatua fulani ya ufahamu wa juu ,

Zingatia haya mambo tafuta mwanamke yeyote mwenye uwezo Wa kufundishika na kufata falsafa zako utakazompa um-train then ukiona anamwelekeo mzuri muoe

Nchi yetu ukiwa value man kupata value woman ni ngumu Sana

Kuna wanawake wazuri Sana wa sura na maumbo Ila hawana presence


Doesn't matter she is ugly or beuty when she is teachable she is deserve to be married.
 
Back
Top Bottom