Dada na Mama zangu, angalieni mitandao ya kijamii isiwafanye mkasahau familia zenu

Dada na Mama zangu, angalieni mitandao ya kijamii isiwafanye mkasahau familia zenu

Herbalist Dr MziziMkavu

JF-Expert Member
Joined
Feb 3, 2009
Posts
42,872
Reaction score
34,363


Kina Dada zangu na Mama zangu Acheni kushughulika na Mitandao ya Kijamii aka Facebook,TikTok, istagram, Youtube na mengine. Wakati Mume wako anakuwepo nyumbani.Muhudumie Waume zenu kwa kila kitu acha kumtegemea Dada wa kazi aka (House Girl) atawaharibia ndoa zenu shauri zenu.
 
Usitegemee mwanamke wa leo eti umerudi toka huko kutafuta akupokee eti akuwekee maji ya kuogq akuulize, je, nikusongee ugali sasa au utakunywa juisi kwanza.

Nasema thubutu, kama yupo weka ushahidi.
Wewe si upo mpenzi mbona nikirudi unanifanyia kila kitu?Au umesahau nini?
 
Hii mitandao imefanya watu wawe wajinga kabisa...wanaume. Kwa wanawake. Kwanza kila mwanamke huko ni kuonesha tak na kulitingisha,huko si kuhamasisha kutaka kupasuliwa rinda tu.

Ova
Nakazia
 
Kafika kosa mwanadamu aliwahi kifanya ni kumsomeaha mtoto wa kike
 
Huko kila mwanamke,anaonesha kalio mara alitikise,kainama mbuzi kagoma,huku akijipitisha mkono nyuma ya mfereji wake wa tak
Sasa hiyo si Ana hamasisha azibuliwe mtaro tu

Ova
 
Back
Top Bottom