The Garang
JF-Expert Member
- Jan 16, 2018
- 2,880
- 4,830
Assalaam.
Nipo home napigiwa simu na dada ambaye ni kama family fiend wetu kutokana kwa wazazi wetu kushibana katika mambo mbalimbali. Simu ilikuwa ikinijuza ya kuwa kuna dada wawili wanakuna wanaomba niwasaidie kufanya application za chuo. Ikaisha hivyo.
Baada ya masaa kadhaa, nikaja fatwa kwenda kusaidia zoez la ufanyaji application. Walikuwa ni mabinti wawili, mmoja mfupi kiasi bonge bonge toto laini msuko juu plus miwani, na mwingine mrefu kiasi mwili wa kawaida short hair. Nimeingia sikusalimia kutokana na ubongo wangu kushindwa kutoa jibu la maaana niwape salamu ya Aina gani.
Basi nikaitikia wito wao, nikauliza vyuo walivyokuwa wanataka apply lakini kumbe mmoja wao kati ya wale wawili ndio alikuwa anahitaji kufanya application. Wakati naendelea na zoezi la application nikaja kugundua wale dadaz ni mtu na dogo lakini huwezi kufananishia jinsi wametifautiana.
Zoezi limeendelea hatimae sote tukawa comfortable na kila mtu, mazungumzo ya kawaida yakaendelea pale ikafikia kipindi nikawa nimemzoea mdogo mtu hadi nika finya kapua kake huku yeye akicheka tu, wakati hio dada mkubwa alikuwa amegeukia pembeni.
Zoezi likatamatika kwa siku hiyo nikapewa ujira wangu kwa usumbufu, SIKUCHUKUA naba yake japo wakat namsajili aliitaja lakini sikutaka niibe namba hadi niombe kwake ndio anipe. Siku ikaisha tukaagana.
SIFA ZAO.
Mdogo mtu ambae ndio alikuwa ana apply chuo alikuwa ni mchangamfu muongeaji sana viingereza kwa wingi na slang kama zote UPANDE WA pili dada hakuwa muongeaji na alionekana Yuko serious sana jambo ambalo lilinifanya nisi concentrate sana naye nakutumia mda mwingi na dogo mtu.
KUIPATA NAMBA YA DOGO .
Alikuja siku nyingine pamoja na mama ninae mjua kwa sura, huyo mama binti yake alikuwa jeshini hivyo alikuja nimsaidie ku apply kama nivofanya kwa huyu dogo ambae amekuja nae.
Zoezi lilikamilika vizuri, wakati naendelea huyu dogo akaniuliza kama kuna siku nimemtafuta nikamjibu hapana akanambia kuna namba ngeni imempigia ,nikakanusha ikaisha hivyo LAKINI nikasema chukuaa basi namba yangu [emoji1][emoji1] alichonijibu
Endelea na hii wakati naandika ingine.
Nipo home napigiwa simu na dada ambaye ni kama family fiend wetu kutokana kwa wazazi wetu kushibana katika mambo mbalimbali. Simu ilikuwa ikinijuza ya kuwa kuna dada wawili wanakuna wanaomba niwasaidie kufanya application za chuo. Ikaisha hivyo.
Baada ya masaa kadhaa, nikaja fatwa kwenda kusaidia zoez la ufanyaji application. Walikuwa ni mabinti wawili, mmoja mfupi kiasi bonge bonge toto laini msuko juu plus miwani, na mwingine mrefu kiasi mwili wa kawaida short hair. Nimeingia sikusalimia kutokana na ubongo wangu kushindwa kutoa jibu la maaana niwape salamu ya Aina gani.
Basi nikaitikia wito wao, nikauliza vyuo walivyokuwa wanataka apply lakini kumbe mmoja wao kati ya wale wawili ndio alikuwa anahitaji kufanya application. Wakati naendelea na zoezi la application nikaja kugundua wale dadaz ni mtu na dogo lakini huwezi kufananishia jinsi wametifautiana.
Zoezi limeendelea hatimae sote tukawa comfortable na kila mtu, mazungumzo ya kawaida yakaendelea pale ikafikia kipindi nikawa nimemzoea mdogo mtu hadi nika finya kapua kake huku yeye akicheka tu, wakati hio dada mkubwa alikuwa amegeukia pembeni.
Zoezi likatamatika kwa siku hiyo nikapewa ujira wangu kwa usumbufu, SIKUCHUKUA naba yake japo wakat namsajili aliitaja lakini sikutaka niibe namba hadi niombe kwake ndio anipe. Siku ikaisha tukaagana.
SIFA ZAO.
Mdogo mtu ambae ndio alikuwa ana apply chuo alikuwa ni mchangamfu muongeaji sana viingereza kwa wingi na slang kama zote UPANDE WA pili dada hakuwa muongeaji na alionekana Yuko serious sana jambo ambalo lilinifanya nisi concentrate sana naye nakutumia mda mwingi na dogo mtu.
KUIPATA NAMBA YA DOGO .
Alikuja siku nyingine pamoja na mama ninae mjua kwa sura, huyo mama binti yake alikuwa jeshini hivyo alikuja nimsaidie ku apply kama nivofanya kwa huyu dogo ambae amekuja nae.
Zoezi lilikamilika vizuri, wakati naendelea huyu dogo akaniuliza kama kuna siku nimemtafuta nikamjibu hapana akanambia kuna namba ngeni imempigia ,nikakanusha ikaisha hivyo LAKINI nikasema chukuaa basi namba yangu [emoji1][emoji1] alichonijibu
Endelea na hii wakati naandika ingine.