Charlz ze son conscious
JF-Expert Member
- Aug 22, 2019
- 554
- 848
Nyuki wa mashineni
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tunda je amekupa?Sasa wanakupenda vipi na umepigwa chini kimasihara
Tunda je umekula?PART3 NA MWISHO.
Dada yake tumeanza fahamiana vizuri kutokana na kuwa ye ni mwalimu by professional. Hivyo wakati mwaka jana zimetangazwa ajira ,nikawa namsaidia kujaza jaza. Tukaendelea juana mdogomdogo japo mara nyingi kama sio zote yeye ndo huwa anapiga simu akiwa na shida zake namsaidia anasepa.
Status zake nyingi alizokuwa anapost ni za kama mtu anaeteseka na mapenzi na wakati mwingine anapost Bible verses na Vi
Mkuu kuwa nyuki wa mashineni kwangu ni choice suala la kuamua kula linawezekana lakin sijapenda kufanya hivyo ili tuachane bila shidaNyuki wa mashineni
Unaweza ukasema hivo, lakini hao ambao huwa wana aidiana na wapenzi wao hadi kuja oana halafu wanaachana kabla ya kulana nao ni best friend?[emoji1]Sasa mkuu ujapiga mshipa ata mmoja wao kweli?!! Ishu apo hao walikua ni best friends zako tu sio wapenzi......
Ahahah jamaaa hakupona hadi Leo?Kuna Mwalim mmja kule Arumeru alikula mama na mtoto
Mama alivojua sijui alimfanyaje yule kijana
Ghafla jamaa alipinda mgongo aka Anza kutembelea fimbo Kama mzee
Aijakula mkuu
No chief
Yah Kama ujala mkuu ndio inabaki ivyo uyo ni rafik tuUnaweza ukasema hivo, lakini hao ambao huwa wana aidiana na wapenzi wao hadi kuja oana halafu wanaachana kabla ya kulana nao ni best friend?[emoji1]
anytime kaka nikwamba Niko mbali nao kwa sasaDuuuh mwanangu rudi ukachape hata mmoja ...hapo utakua umefanya jambo la kishujaa
Niko mbali nao kwa sasa mkuu, mikoa tofautiKuna watu wa ajabu sana yaani mtu unajawahi hata kumgonga afu unasema alikuwa demu wako,
Kuwa serious basi hawo walikuwa kama wanakuchora tu ,ulikuwa kama friend tu ,
basi hio nouma bora tubaki marafiki tuu nkihitaji ntakula still tukiwa marafikiYah Kama ujala mkuu ndio inabaki ivyo uyo ni rafik tu
sawa chief heri nisile tukaendelea kufaana badae kuliko kula na kugombana badae
Hapa nina wasiwasi na hawa madada, wasije kuwa Kajala na mwanawe wanataka kucheza nawe....hujawahi kuwapa picha zako za utupu, kumbuka vizuri tu. Usikute ulishawahi mpa mwanafunzi picha yako naye akampa mtoto wa Kajala kisha naye akaja muonyesha Mama yake aliyekutamani. Nina wasiwasi hao watakuwa kina Kajala tu.Assalaam.
Nipo home napigiwa simu na dada ambaye ni kama family fiend wetu kutokana kwa wazazi wetu kushibana katika mambo mbalimbali. Simu ilikuwa ikinijuza ya kuwa kuna dada wawili wanakuna wanaomba niwasaidie kufanya application za chuo. Ikaisha hivyo.
Baada ya masaa kadhaa, nikaja fatwa kwenda kusaidia zoez la ufanyaji application. Walikuwa ni mabinti wawili, mmoja mfupi kiasi bonge bonge toto laini msuko juu plus miwani, na mwingine mrefu kiasi mwili wa kawaida short hair. Nimeingia sikusalimia kutokana na ubongo wangu kushindwa kutoa jibu la maaana niwape salamu ya Aina gani.
Basi nikaitikia wito wao, nikauliza vyuo walivyokuwa wanataka apply lakini kumbe mmoja wao kati ya wale wawili ndio alikuwa anahitaji kufanya application. Wakati naendelea na zoezi la application nikaja kugundua wale dadaz ni mtu na dogo lakini huwezi kufananishia jinsi wametifautiana.
Zoezi limeendelea hatimae sote tukawa comfortable na kila mtu, mazungumzo ya kawaida yakaendelea pale ikafikia kipindi nikawa nimemzoea mdogo mtu hadi nika finya kapua kake huku yeye akicheka tu, wakati hio dada mkubwa alikuwa amegeukia pembeni.
Zoezi likatamatika kwa siku hiyo nikapewa ujira wangu kwa usumbufu, SIKUCHUKUA naba yake japo wakat namsajili aliitaja lakini sikutaka niibe namba hadi niombe kwake ndio anipe. Siku ikaisha tukaagana.
SIFA ZAO.
Mdogo mtu ambae ndio alikuwa ana apply chuo alikuwa ni mchangamfu muongeaji sana viingereza kwa wingi na slang kama zote UPANDE WA pili dada hakuwa muongeaji na alionekana Yuko serious sana jambo ambalo lilinifanya nisi concentrate sana naye nakutumia mda mwingi na dogo mtu.
KUIPATA NAMBA YA DOGO .
Alikuja siku nyingine pamoja na mama ninae mjua kwa sura, huyo mama binti yake alikuwa jeshini hivyo alikuja nimsaidie ku apply kama nivofanya kwa huyu dogo ambae amekuja nae.
Zoezi lilikamilika vizuri, wakati naendelea huyu dogo akaniuliza kama kuna siku nimemtafuta nikamjibu hapana akanambia kuna namba ngeni imempigia ,nikakanusha ikaisha hivyo LAKINI nikasema chukuaa basi namba yangu [emoji1][emoji1] alichonijibu
Endelea na hii wakati naandika ingine.