Dada na mdogo wake wananipenda bila kujuana

Sasa mkuu ujapiga mshipa ata mmoja wao kweli?!! Ishu apo hao walikua ni best friends zako tu sio wapenzi......
 
Tunda je umekula?
 
Sasa mkuu ujapiga mshipa ata mmoja wao kweli?!! Ishu apo hao walikua ni best friends zako tu sio wapenzi......
Unaweza ukasema hivo, lakini hao ambao huwa wana aidiana na wapenzi wao hadi kuja oana halafu wanaachana kabla ya kulana nao ni best friend?[emoji1]
 
Kuna Mwalim mmja kule Arumeru alikula mama na mtoto
Mama alivojua sijui alimfanyaje yule kijana
Ghafla jamaa alipinda mgongo aka Anza kutembelea fimbo Kama mzee
Ahahah jamaaa hakupona hadi Leo?
 
Duuuh mwanangu rudi ukachape hata mmoja ...hapo utakua umefanya jambo la kishujaa
 
Kuna watu wa ajabu sana yaani mtu unajawahi hata kumgonga afu unasema alikuwa demu wako,

Kuwa serious basi hawo walikuwa kama wanakuchora tu ,ulikuwa kama friend tu ,
 
Unaweza ukasema hivo, lakini hao ambao huwa wana aidiana na wapenzi wao hadi kuja oana halafu wanaachana kabla ya kulana nao ni best friend?[emoji1]
Yah Kama ujala mkuu ndio inabaki ivyo uyo ni rafik tu
 
Kuna watu wa ajabu sana yaani mtu unajawahi hata kumgonga afu unasema alikuwa demu wako,

Kuwa serious basi hawo walikuwa kama wanakuchora tu ,ulikuwa kama friend tu ,
Niko mbali nao kwa sasa mkuu, mikoa tofauti
 
Hapa nina wasiwasi na hawa madada, wasije kuwa Kajala na mwanawe wanataka kucheza nawe....hujawahi kuwapa picha zako za utupu, kumbuka vizuri tu. Usikute ulishawahi mpa mwanafunzi picha yako naye akampa mtoto wa Kajala kisha naye akaja muonyesha Mama yake aliyekutamani. Nina wasiwasi hao watakuwa kina Kajala tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…