The Garang
JF-Expert Member
- Jan 16, 2018
- 2,880
- 4,830
- Thread starter
-
- #41
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]hapana mkuu sio kajala na PaulaHapa nina wasiwasi na hawa madada, wasije kuwa Kajala na mwanawe wanataka kucheza nawe....hujawahi kuwapa picha zako za utupu, kumbuka vizuri tu. Usikute ulishawahi mpa mwanafunzi picha yako naye akampa mtoto wa Kajala kisha naye akaja muonyesha Mama yake aliyekutamani. Nina wasiwasi hao watakuwa kina Kajala tu.
mzigo nikitaka ni muda wowote lakini niko mbali nao kwa sasaDah! alafu hukula mzigo
Aaaaaaaaaaaaaah! Sawa mkuumzigo nikitaka ni muda wowote lakini niko mbali nao kwa sasa
hapana ni kaujuzi kidogo niko nakoKwani wewe unafanya kazi internet cafe? Ama wewe unafanta kazi TCU kwamba ni professional wa kusaidia watu kuaply vyuo
ntakuja na mrejesho nkigegeda ,ufurahiMapenzi bila kugegedana ni mapenzi hewa.
Umetupotezea muda kwa story hewa.
ntakuja na mrejesho nkigegeda ,ufurahi
nitaku dm kaka usijariNtakuwa nilishaacha kufatilia
nitaku dm kaka usijari
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]hadi ni saini kakaNi DM namba ya huyo ambaye yuko chuo
[emoji1][emoji1]ndio unauzoefu nao mkuuWadada wa kisabatoo[emoji16][emoji16]
Not that much, ila nmepata kitu kuhusu wao kupitia simulizi yako, seems wako strictly sana kwenye mambo ya dini...[emoji1][emoji1]ndio unauzoefu nao mkuu
ndio mkuu wazazi wao dini imelala hapo nawao pia, alafu geti kaliNot that much, ila nmepata kitu kuhusu wao kupitia simulizi yako, seems wako strictly sana kwenye mambo ya dini...
Duuh! so break ups zao zote zmetokana na wao kukataa sex be4 marriage??ndio mkuu wazazi wao dini imelala hapo nawao pia, alafu geti kali
yaap kaka ila mnyama mmoja wao alinilegezea masharti kma US kwa Iran[emoji38]Duuh! so break ups zao zote zmetokana na wao kukataa sex be4 marriage??
[emoji1787][emoji1787]hapana mkuu, ntafutaje sasa natoa shuhuda hapa.Uliwala? Kama hukuwala futa huu uzi