Dada na mdogo wake wananipenda bila kujuana

Ok, baki kwenye msimami wako mkuu, kulingana na imani yako, wengine tulihendekeza ngono zikatupotezea imani na kujikuta tupo sehemu mbayeπŸ˜ͺπŸ˜ͺπŸ˜ͺπŸ˜ͺπŸ˜ͺπŸ˜ͺπŸ˜ͺ
 
Ok, baki kwenye msimami wako mkuu, kulingana na imani yako, wengine tulihendekeza ngono zikatupotezea imani na kujikuta tupo sehemu mbaye[emoji25][emoji25][emoji25][emoji25][emoji25][emoji25][emoji25]
Kungekuwa na vile vi icon kama vya fb heart, woow, love ningeipiga heart kabisa. Ni kweli kaka huwa sipendi kumtenda mtu jambo ambalk kesho na kesho kutwa najua binti zangu nao wanaweza tendewa. Bless sana kaka kwa ushauri.
 

Pole sana...
Chapter Closed...
 
Zwazwa kweli wewe
Yani hujala hata mmoja halafu unakuja kuleta uzi hapa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…