Dada niliyekutana naye JF akawa mpenzi, leo tumetendana vibaya

Sasa ukimwita ERoni mzee mwenzako huoni unajimaliza😂😂😂

Huu ni chalii mdogo tu
Hahaha............kumbe naye ana umri wa lastborn wangu 😜

Itakuwa Mimi peke yangu ndiyo age imeenda humu maana miaka 79 sio mchezo 🤗
 
Niko upande wako mzee mwenzangu, hizi habari ni uzushi mtupu, tuendelee kula uzee wetu na pension yetu.
Hayo ndiyo maneno sasa na vile pension imeongezwa mbona safari za Zanzibar hazitaniisha 😜

Maisha yenyewe mafupi haya 😅
 
Achaga uzushi basi msela? 😂
Hahahaha.................usije kumwaga Mchele kwenye Kuku wengi bure 😜

Na hivi nimepoteza miwani yangu, sijui kama nitaweza kujibu mashtaka yakinijia 🏃🏃🏃
 
K ina nguvu sana. But nilikuwa najua kuwa kuna siku mjanja hujisahau tu. Huwezi kula nauli ya mtu kila siku usiliwe vibaya. Nlishaamua kuwa fala ili nije kulipiza. Ashanisumbua sana huyo demu. Na ninataka ajitokeze hapa. Ajibu kitu.
Hawezi jitokeza hapa...we mtaje tu kama vipi
 
CHAI AU UJI
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…