mshamba_hachekwi
JF-Expert Member
- Mar 3, 2023
- 20,704
- 66,337
dhambi zote ni sawa mbona, dunia inabadilika, watu nao wanabadilikaMbinguni
huo mchezo unaogopwa kwasababu ni taboo, wala sio kisa ni dhambi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
dhambi zote ni sawa mbona, dunia inabadilika, watu nao wanabadilikaMbinguni
Hahahahahaha....Kumbe mnatoaga hela za mitaji na hamsemi??
Hahahahahaha..alitoa tigo apate mtaji w 5m..Hahahahahaha ila jamaa muhimu katia nanga topeni halafu kala konaMmh,
Mbona hizo tigo zinatolewa kwa mkopo, yaani huyo aliyeahidi 5m yuko mbali sana, bure watu wanapewa.
Ni kweli! Ilq dhambi zingine Mungu anasamehe ila asahau, imagine mtu ukitukana utatubu unasamehewadhambi zote ni sawa mbona, dunia inabadilika, watu nao wanabadilika
huo mchezo unaogopwa kwasababu ni taboo, wala sio kisa ni dhambi
Inawezekana hajakutana na mdau, ila akafanyiwa conversion moja matata akawa mdau. Watu wanabebelezwa, wanaume wanajua kubembeleza.wadau wanatoa bure
ila sasa what are the odds kwamba jamaa kakutana na mdau?
na hua haitolewi hivi hivi kuna matayarisho yake ujue
una hoja, ila nikivuta picha duh
hata huyu Chizi Maarifa na uchizi wake hua anasema hapendi upung'a
Hahahahaha, katia nanga topeni🤣🤣🤣Hahahahahaha..alitoa tigo apate mtaji w 5m..Hahahahahaha ila jamaa muhimu katia nanga topeni halafu kala kona
Mambo kwa ground ni tofauti sana, tigo zinabonyezwa sana sana tu!!Hahaha.....hajui mambo yalivyo Kwa ground huyo 😅
nilisahau wewe ni mswahili🤣Aliyepigwa miti nyuma atatubu ila nyuma mdomo upo wazi haufungi😂
Bora tumezeeka Mzee mwenzanguMambo kwa ground ni tofauti sana, tigo zinabonyezwa sana sana tu!!
Uzee unatuepusha na mengi sana mzee mwenzangu. Nasikia ukionja ndio huachiii🤣Bora tumezeeka Mzee mwenzangu
Sisi Wazee tukianza kuonja hizo mambo si ndiyo tutamaliza Pension zote Kwa kuwapa hao warembo, nimesikia Vijana wa hovyo wakisemezana humu😜
Daah jamani jamaniChizi Maarifa kuanzia leo usiwanyime mapunga raha! Sababu umekua mmoja wao anayeingiza na kuingizwa wote ni walewale.
Mbona balaa Mkuu 🙌Uzee unatuepusha na mengi sana mzee mwenzangu. Nasikia ukionja ndio huachiii🤣
Hahahahaha..mwamba atakua ni dereva wa mashua anapenda kukaa nyuma ya chomboHahahahaha, katia nanga topeni🤣🤣🤣
HahahahahaNilivoskia Tigo tuu nikasema hamna mtu hapa.