Dada niliyekutana naye JF akawa mpenzi, leo tumetendana vibaya

Dada niliyekutana naye JF akawa mpenzi, leo tumetendana vibaya

Mimi ndio mbaya kabisa ukiniletea drama.
Narudia, kwenye drama mimi sifai hata kunijua😂😂😂

Nachukia dharau na drama haina mfano.
1. Mwanamke mropokaji
2. Mwenye drama
3. Anayejijali yeye tu

Hawa ni adui zangu.
Ukiwa muelewa mimi ni falla wako kabisa😂😂
😂😂😂kiruu
 
Wakuu hizi mambo zipo na tushakutana nazo huku.
Hii kesi bado yamoto.
Tatizo wanakuwa na matarajio ya kupiga pesa akizinduka kapigwa yeye
View attachment 2934324
Daaah.... Mmeishia naye wapi? Anasema akiwa tayari atakufuata? Aliomba nauli? Usimkasirikie. Kuwa mpole ataingia kwenye mfumo. Hapo ndo unakuja unamfumua sasa. Sema tu kakukuta mpole umemsamehe. Mimi huwa naumia sana.
 
Ulilazimisha sana!

Safari ya kwanza ingetosha kabisa kukukatisha tamaa na kutoendelea!!

ungeepuka visasi visivyo na maana!! Wahivyo una mwacha kama alivyo!!

Mimi naamini first impression Kwa mtu yeyote kwangu,hiyo ndio Ina define future kwenye mahusiano yenu yajayo!!

akikudharau TU,usije jaribu Tena kuwa nae hata kama akirudisha moyo tena!!

first impression speaks volumes !!

siku nyungine usirudie hiyo coz unaongeza idadi ya maadui kiroho ambao roho zao zikikulilia zitaathiri hatma yako somewhere in universe!!
Alishanitia hasara sana. Mara zote napoenda lazima kwanza nihakikishe. Ananihakikishia kabisa mambo yatakuwa mazuri. Napoteza muda wangu kumbe ana mambo ya kiswahili. Acha tu tuwekeane visasi.
 
Sikusoma kwanza, niliona kaandika maelezo mengi nikajua huyu kafunguka kweli

Kumbe chai, isingekuwa hapo kwenye tigo ningeamini

Nina kaushamba hivi
Mkuu,
Kwamba ni ajabu huyo mdada mwenye shida ya 5m kuliwa tigo? Hii dunia ione ilivyo, I believe she was desperate, angefanya lolote ili apate hiyo 5m...
 
Daaah.... Mmeishia naye wapi? Anasema akiwa tayari atakufuata? Aliomba nauli? Usimkasirikie. Kuwa mpole ataingia kwenye mfumo. Hapo ndo unakuja unamfumua sasa. Sema tu kakukuta mpole umemsamehe. Mimi huwa naumia sana.
Hapana, hizo za kumtafta ni zangu.
Yaani huyu nilimpiga tukio.
Nikamla na pesa nikachukua maana alinitia hasara sana.
Sasa anajutaa kunitukana kila nikimsalimia
 
Back
Top Bottom